Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,801
- 12,247
Mara nyingi watu hufanyiwa vitendo vya hovyo, udhalilishaji na kunyimwa haki zao za kisheria na kikatiba na polisi wetu kwa kukosa uelewa wa PGO. Hali hii hufanyika kwa makusudi na polisi ama kwa polisi kusahau au kutokuifahamu PGO.
Kwa wananchi kuifahamu vizuri PGO watakuwa katika nafasi nzuri ya kufahamu haki zao kisheria mara wanapowekwa chini ya ulinzi na polisi.
PGO iwekwe mitandaoni na hard copies ziwepo madukani ili wananchi wengi waweze kuzipata.
Kwa wananchi kuifahamu vizuri PGO watakuwa katika nafasi nzuri ya kufahamu haki zao kisheria mara wanapowekwa chini ya ulinzi na polisi.
PGO iwekwe mitandaoni na hard copies ziwepo madukani ili wananchi wengi waweze kuzipata.