xuemali
Member
- Feb 8, 2017
- 88
- 62
Likifika 0 nishtueSoko la hisa limeshuka toka Billion 33 mpaka 3
Likifika 0 nishtueSoko la hisa limeshuka toka Billion 33 mpaka 3
IMF katika taarifa yake kuhusu TZ inasema by July mwaka huu most likely Nchi hii itakuwa imefilisika rasmi.
Nasema tena tatizo hapa ni Ngosha anaendekeza one man show, kila kitu ni yeye na hashauriki. Viongozi wote kuanzia Chief secretary , PM, mawaziri, wakurugenzi wa wizara, hawana maamuzi mpaka Ngosha atoe directives. Hakuna kitu kama hii iliwahi fanikiwa kokote duniani.
Kuna swali la kujiuliza hapa who is his "Mastermind"? ; Je ni Bashite , Kagame au wote? Au nani? Lazima kuna watu atakuwa anawaamini Kwa ushauri. Tukiwajua tutakuwa tumekata mzizi wa fitina. Maana tumeambiwa hata ushauri wa viongozi wastaaf haupokei.
Ndo mchakato wenyewe kuelekea uchumi wa kati na nchi ya viwanda!Soko la hisa limeshuka toka Billion 33 mpaka 3
Nyie mkitukana wapinzani mnafikiri hamjulikani?Wewe unafikiri hatukufahamu eh! Tutakutana Kisutu Siku so nyingi ukanyee ndoo Ukonga
Nashangaa na kuwa Bunge la bajeti and then matokeo ni madudu hayo ya wizara kupewa asilimia Mbili ya bajeti iliyopangiwa. Je kuna umuhimu gani kuwa na bunge la bajeti likitumia mabilioni kwenye vikao vyake na matokeo ndiyo hayo.pesa iliyotolewa kwenye bajeti ya wizara ya kilimo ni kituko.![]()
Yale yale ya kuulizwa ID watoa bastola?! Jibu hoja kwa hoja na siyo vitisho, vitisho havitakusaidia wewe wala wananchi unawowapenda, tutumie akili zaidi tafadhali kuliko nguvuWewe unafikiri hatukufahamu eh! Tutakutana Kisutu Siku so nyingi ukanyee ndoo Ukonga
Mkuu kwa post yako imenibidi nidondoshe chozi kwa kweli. Sijui tunalaana, na laana hii haitaisha labda mpaka ccm iondoke madarakani.Maji na umeme Siyo priority kwetu bali ndege. After all does it make sense kampuni kununua umeme at 500 per unit wakati inauuza at 200.? Maana yake ni nini? Wana gross loss per unit ya 300 before operating expenses. Je! Ni nani asiyemjua mmiliki wa PAP? Simba Trust? Ni hao hao wanao draw 400mln per day; katika mazingira hayo tutaweza kujenga viwanda?Mungu wa mbinguni aturehemu sana
.....Mkuu kwa post yako imenibidi nidondoshe chozi kwa kweli. Sijui tunalaana, na laana hii haitaisha labda mpaka ccm iondoke madarakani.
Tanzania hii maendeleo hayataka yaje kwa kuwabakiza ccm madarakani. Hata huyu Baba bashite wa Tanzania ya viwonder nina wasiwasi kutofanikiwa kwa kuwakumbatia ccm wenzake na mambo mengine ya ajabu na kipuzipuzi na mamuzi ya kukurupuka. Tutaishia kuwa Tanzania ya viwonder.
Kwani Kafanyaje?Wewe unafikiri hatukufahamu eh! Tutakutana Kisutu Siku so nyingi ukanyee ndoo Ukonga
Kweli kabisa, bora mchaga kidogo elimu ya uchumi ipo kichwani kuliko msukuma hana elimu ya uchumi tatizo lake anatumia mi nguvu, vitisho.Wachaga,wasukuma,wanyawezi,wanyakusya,wahaya sio makabila ya kupewa nchi,kutokana na ukubwa wa makabila yao automaticallly mtu huwa na majivuno na dharau
Nyerere aliona mbali!
mnalia hapa ukaenda Kenya ndio utajua halo ilivyo.Soko la hisa limeshuka toka Billion 33 mpaka 3