Acha kutisha watu. We mwenyewe tunakufahamu.Hii ni nchi huru kila mwananchi ana Uhuru wa kutoa mawazo yake. Usisahau ndoo yako tukikutana ukonga.Wewe unafikiri hatukufahamu eh! Tutakutana Kisutu Siku so nyingi ukanyee ndoo Ukonga
Wee Bashite Zero Brain Acha kutisha tisha watu hapa..Wewe unafikiri hatukufahamu eh! Tutakutana Kisutu Siku so nyingi ukanyee ndoo Ukonga
He he he,eti kisutu,we dada ni bwege kweli.ww km nani nchi hii?Wewe unafikiri hatukufahamu eh! Tutakutana Kisutu Siku so nyingi ukanyee ndoo Ukonga
na hili sakata Mungu atuepushe tu , yasije yakatokea kama yale ya meli ya samaki.Nimegundua hata sakata la Mchanga wa madini ni dalili ya frustration ama scapegoat ya serikali katika hali halisi ya uchumi.
Muendelezo wa kuwatia watu wogaWewe unafikiri hatukufahamu eh! Tutakutana Kisutu Siku so nyingi ukanyee ndoo Ukonga
Mkuu hizo mamlaka za maji tutazilaumu tu kwani nao wanatoa huduma kwenye ofisi za serikali kama hospital, magereza, jeshini, polisi nk. Nao hawalipwi madeni yao kisa serikali hijapeleka pesa huko ili nao walipwe?! Wafanyeje sasa? Mfano ni mamlaka ya maji kigoma wanadaiwa na tanesco 1.5 biioni, na wao wanaidai serikari karibu milioni 400!!na hata huko wizara ya maji fungu lao lililopitishwa na bunge limepekwa kiduchu wafanye nini?? Serikali inaendeshwa kwa bajeti iiyoidhinishwa na bunge kwa mwaka husika huwezi kuwa unatoa pesa tu bila bajeti mambo yakaenda sawa. Kwa hili linaloendelea wa kulaumiwa ni serikali kuu.Hata Kahama tatizo ni lile lile ingawa tunalipa bili zetu vizuri tu.Najiuliza tatizo ni serikali ama nani?Ina maana hizi bili za maji tunazolipa zinaenda Benki kuu?Mimi nawalaumu Kashwasa kwani wanachukua pesa,halafu wao wanakwepa kulipia umeme
What a massive development.... (thats how sizonje thinks)Soko la hisa limeshuka toka Billion 33 mpaka 3
Tatizo mkulu kichwa mawe.... hataki kusikiliza ushauri... hata IMF walipotoa hiyo warning, yeye atakuwa amewapuuzia.. sasa kifuatacho ninkufiliisika kabisa....Kifupi tunapoelekea siko kabisa. IMF wamesha itaadharisha serikali ifikapo juni - julai mwaka huu hali ya kiuchumi nchini inaweza kuwa mbaya sana endapo hatua za awali hazitachukuliwa.
Yeye hakuna comment anayotoa bila kumtuhumu rais...anaishi kwa matukio tu....hata kma humpendi mtu lkn jamaa huyu BAK yake imekuwa too much.Wewe unafikiri hatukufahamu eh! Tutakutana Kisutu Siku so nyingi ukanyee ndoo Ukonga
Utanifahamu siku huyo jamaa yako akipanda KisutuHe he he,eti kisutu,we dada ni bwege kweli.ww km nani nchi hii?
Tanesco inamilikiwa serikali Idara ya maji pia inamilikiwa na serikali pia sasa inakuwaje wananchi kukosa Huduma hii muhimu ya kupata maji. Leo tunajisifu ni miaka 55 toka tupate uhuru lakini serikali iliyopo madarakani inashindwa kutoa hiyo muhimu tunabaki kutumia milioni 700 kutaka kujua FARU John alikufaje.Mkuu hizo mamlaka za maji tutazilaumu tu kwani nao wanatoa huduma kwenye ofisi za serikali kama hospital, magereza, jeshini, polisi nk. Nao hawalipwi madeni yao kisa serikali hijapeleka pesa huko ili nao walipwe?! Wafanyeje sasa? Mfano ni mamlaka ya maji kigoma wanadaiwa na tanesco 1.5 biioni, na wao wanaidai serikari karibu milioni 400!!na hata huko wizara ya maji fungu lao lililopitishwa na bunge limepekwa kiduchu wafanye nini?? Serikali inaendeshwa kwa bajeti iiyoidhinishwa na bunge kwa mwaka husika huwezi kuwa unatoa pesa tu bila bajeti mambo yakaenda sawa. Kwa hili linaloendelea wa kulaumiwa ni serikali kuu.
Hawezi kuuzidi upuuzi uliokuwa nao wewe uliza sababu ntakupa za kisicologia ili ujue upuuzi uliomzidi mtoa madawewe ni mpuuzi