mwakijembe
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 1,662
- 2,324
Shinda Uchaguzi kwanza ili uweke Washauri wako!
kwani nyie huwa mnashinda au huwa mnajitangaza?
Shinda Uchaguzi kwanza ili uweke Washauri wako!
Mkuu, kama unajua tabia za umeme hauwezi kuhuifadhi(save) kama ahutumii unapotea na maji kutoka na miundo mbinu inaweza kuwa na tabia kama ya umeme.Kwa weledi wako serikali inaweza kukata maji mpaka hospitalini ? Unapozungumzia awamu zote hujui kwamba hao viongozi wote ni zao la CCM.
Ripoti ya mkaguzi wa mahesabu imesema Tanesco inafanya kazi kwa hasara je mikataba mibovu hiyo si imeletwa na uongozi wa CCM.
Shame on CCM
kansa inayoiua nchi yetu ni hili genge la rangi ya kijani/njano.
ni wezi (kura za urais, raslimali za nchi, nk)
ni mafisadi (Escrow 1&2, Richmond, EPA, Lugumi, nk)
ni wanafiki (wote wanahusika. wale mnatotegemea kitu kutoka kwa wabunge wa CCM poleni. msahau!)
ni wakandamizaji na waonevu
si wazalendo bali ni walafi wa madaraka, wapo kichama zaidi. ikifika mahali kipi kife kati ya taifa au chama chao wao wataua taifa.
. Hivi kweli leo Serikali ya awamu ya 5 inawaza kuwa na ndege kumi na reli ya kisasa wakati maji wala madawa hospitali hakuna.
kwani nyie huwa mnashinda au huwa mnajitangaza?
Una nakisi katika fikra zako. Toka uhuru wananchi wamekuwa wakilipa ankara za maji. Hata humu nchini yapo maeneo watu hupata maji ya bure mtoni na ziwani. Kwa maji yalitolewa mtoni na kufikishwa kwa wanaanchi, gharama za uendeshaji ni lazima. Hata wewe unajua hilo ila kwa kumridhisha aliyeshikilia akili yako umeona yakutoke yaliyokutoka.Serikali makini hutoa huduma ya maji bure. Sisi serikali inataka kununua ndege kumi wakati huo hakuna dawa hakuna maji. Unategemea hizo ndege watapanda wafuu.
Nini maana ya kulipa kodi kama huwezi kutoa huduma. Nenda katembelee nchi kama Bostwana uone wananchi wanalipa maji. Serikali makini inatakiwa kutoa huduma za afya na elimu bure. Kusema tulikuwa tunalipa toka baada ya uhuru ni fikra potovu.Una nakisi katika fikra zako. Toka uhuru wananchi wamekuwa wakilipa ankara za maji. Hata humu nchini yapo maeneo watu hupata maji ya bure mtoni na ziwani. Kwa maji yalitolewa mtoni na kufikishwa kwa wanaanchi, gharama za uendeshaji ni lazima. Hata wewe unajua hilo ila kwa kumridhisha aliyeshikilia akili yako umeona yakutoke yaliyokutoka.
Watu wanaogopa kilichomtokea Nape hivi unadhani Bastola/Bunduki ni kitu cha mchezo mchezo?
Wewe unafikiri hatukufahamu eh! Tutakutana Kisutu Siku so nyingi ukanyee ndoo Ukonga
Dahh unasubiria embe chini ya mchungwa soo whaaatt hata wakimwambia ndo afanyeje kama hela hazipo ni hazipo akachapishe au achimbe ardhini hakuna jipya ni kupiga perereee tuu wacha kilichopo kitumike hakitoshi jibane kuishi na uwezo uliopo kuna familia wanakula mlo mmoja jiulize kwanini ni kula kwa kile walichonacho sasa afanyeje na amekuta hazina hamna hela... acheni ushambenga na ushiranga
Hata sisi kama idadi ya watu wetu ingekuwa kama ya wakazi wa Manzese tu, tungewalipia hata chakula na gharama za kuolea hata gharama za disko zingelipwa na serikali. Nimegundua akili zako zinauwezo mdogo wa kutafakari mambo bali umebaki kulishwa ujinga na kukimbia nao kama dodoki.Nini maana ya kulipa kodi kama huwezi kutoa huduma. Nenda katembelee nchi kama Bostwana uone wananchi wanalipa maji. Serikali makini inatakiwa kutoa huduma za afya na elimu bure. Kusema tulikuwa tunalipa toka baada ya uhuru ni fikra potovu.
Kwa mtazamo huu si bure,una chuki binafsi na huyo "mtu"Tatizo Mkuu ni huyu mtu mmoja ambaye kawajaza woga watendaji wake kiasi cha kushindwa kumwambia kwamba anakoipeleka nchi siko. Hivi baraza lote la Mawaziri likiamua kumvaa huyu dikteta uchwara kwamba nchi inayumba awasikilize washauri wake na aachane na udikteta atafukuza wangapi!? Hivi wastaafu Mawaziri Wakuu na Marais wakijipanga kwenda kuongea naye Ikulu kuhusu nchi kwenda mrama atawafanya nini!?
Kwanini mtu mmoja aachiwe kuiyumbusha nchi kiasi hiki na wale walio karibu yake waamue kukaa kimya kwa kumuogopa!?
Una ushahidi au umeamua kuongea tu kwakua una mdomo?Ni kweli kuna pesa nyingi inatumika kwa ajili ya kumlinda Daud Bashite Mfano jana kamati ya wabunge Dodoma wamepewa pesa nyingi sana, Hosptal hazina dawa viwanda hakuna lakini pesa ya kumlinda Bashite Daudi ipo nyingi sana.
Kuna msemo wa English usemao Never argue with a fool. Itanichukua karne 100 kukuelimisha wewe.Hata sisi kama idadi ya watu wetu ingekuwa kama ya wakazi wa Manzese tu, tungewalipia hata chakula na gharama za kuolea hata gharama za disko zingelipwa na serikali. Nimegundua akili zako zinauwezo mdogo wa kutafakari mambo bali umebaki kulishwa ujinga na kukimbia nao kama dodoki.
Kwa mtazamo huu si bure,una chuki binafsi na huyo "mtu"
Hahaaa haaa haaaaa, Kuua mtu siyo jambo rahisi lakini watu wanaogopa kuthibitisha hilo kupitia wao wenyewe. Muulize Hamorapa alikimbia nini ilihali anajua hana kosa lolote? kinachotutesa tulio wengi ni hofu na ndiyo maana mkuu anaitumia hiyo advantage kuwatisha walio chini yake ili kila akifanyacho kisihojiwe.Hivi unafikiri kuua Wananchi ni jambo rahisi kiasi hicho? Mbona yule mpuuzi hakumpiga risasi na ile Bastola yake? Tia akili kichwani.