Ndio maana haithubutu kutoa huduma bure kwa wananchi wake. Pamoja na utajiri unaousifia Nigeria ni nchi inayoongoza kwa kuwa na wananchi wengi masikini Afrika. Bado hujanishawishi. Pia kumbuka papasi ni bi mkubwa wako ndio maana kazaa papasi.Huna ujualo zaidi ya kupiga siasa ww papasi. kama wingi ndio kushindwa kutoa huduma basi Nigeria ingekuwa nyuma ya Tz kimaendeleo.