simba45 mkali
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,980
- 1,881
Kwa sasa nchi inatoka nje ya reli ndiyo tunakamata chaka sasa.
Kama bajeti ya mwaka 2016/2017 ilikuwa 29trilion lakini imeshindikana kutekelezwa ata hyo ya 31trilion siyo kitu tena.
Tuliahidiwa Tanzania ya viwanda na itakayojisimamia kujiendesha yenyewe kifedha na kiuchumi hadi kutoa misaada na kukopesha nchi nyinginezo cha ajabu sisi ndiyo tumekuwa wakopaji wazuri hadi kuchukua private namba za rais wa world bank tukijidanganya pia tunaweza kuomba mkopo ata kwa njia ya uani.
Tanzania ya viwanda sasa imekuwa Tanzania ya viwonder. Tumeishia kuzalisha viwonder kwa kukimbizana na kina Lema, Lisu, na Ney wa mitego na matamko ya hapa na pale yasiyokuwa na msingi wowote. Tumekuwa Tanazania ya wawenda wazimu na vichaa.
Kama bajeti ya mwaka 2016/2017 ilikuwa 29trilion lakini imeshindikana kutekelezwa ata hyo ya 31trilion siyo kitu tena.
Tuliahidiwa Tanzania ya viwanda na itakayojisimamia kujiendesha yenyewe kifedha na kiuchumi hadi kutoa misaada na kukopesha nchi nyinginezo cha ajabu sisi ndiyo tumekuwa wakopaji wazuri hadi kuchukua private namba za rais wa world bank tukijidanganya pia tunaweza kuomba mkopo ata kwa njia ya uani.
Tanzania ya viwanda sasa imekuwa Tanzania ya viwonder. Tumeishia kuzalisha viwonder kwa kukimbizana na kina Lema, Lisu, na Ney wa mitego na matamko ya hapa na pale yasiyokuwa na msingi wowote. Tumekuwa Tanazania ya wawenda wazimu na vichaa.
