figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
fuuuufuuuu
sio mimi.. sababu hii ndio comment yangu ya kwanza kwako...
hahahaaaa....!!!. Mkuu hiyo "fuuuufuuuu" ina maana gani? Mia
fuuuufuuuu
sio mimi.. sababu hii ndio comment yangu ya kwanza kwako...
hahahaa lol...zama za JK hizi sio!!!
mi staki mwache SL adondoke mwenyewe
Samawani aunt!...nipo chini ya miguu yako!
una ulivyo na nidhamu hafifu sasa...
Nimekukimbia kule kwa MS umenifuata tena huku? Kweli unanipenda, nsaidie kumtafuta Kongosho nimwombe msamaha!
yuko kwa za big Bosi...
Unajua wanawake tunasubiri mpaka tuwezeshwe tunaharibu. Kama umemdondokea we sema tu, ndiko kuweza kwenyewe huko! :lol:
umenikumbusha wimbo wa katoto fulani hivi, sijui kameishia wapi ulikuwa ukiimbwa...wanawake tuna wezaa wezaa, tunaweza wezaa!!!
hii ya kuwezeshwa not anymore, tunajiwezesha wenyewe!!
Mi nilidondoka kitambo bana nikadakwa!!...lol
wapi SL aje aseme anampango wa kudondokea pande zipi?
Cjui atanielewa tena huwa anakomenti nikitoa statuc
Na mimi ngastuka na machale kundesa SIDONDOKI TENA!...hahahaa lol...zama za JK hizi sio!!!
mi staki mwache SL adondoke mwenyewe
Na mimi ngastuka na machale kundesa SIDONDOKI TENA!...
Nambie unataka kumdondokea nani, tusije kugongana wakati wa kudondoka manake mie pia nna dalili za kumdondokea mtu!
Cjui atanielewa tena huwa anakomenti nikitoa statuc
JF sometimes becomes really exciting!!!jf 2012 is very promising huh.
ppo ful kudondokeana bado mie dahhh.
ngoja nijipange sawa saw lol.
Ha ha ha! Toka lini umeanza kunywa fanta orange tena ya moto?..sasa nikisema nakuchukia kweli mi nina makosa gani.....umenichekesha hadi fanta orange imenipalia
:lol::lol::lol::lol:
oa
Hehehe! Mke mwenza utasutwa!...Si mbali, karibuuuu!
Tutaimba na sisi hukooo!
<Singing>
Hehehe! Gee bana, niliyetaka kumdondokea kumbe ana ulemavu wa mikono hivyo hataweza kunidaka.....ngoja niendelee kuangaza angaza nikimpata ntakushtua unisaidie kushusha mistari...lolAfadhali tu ulidakwa, manake mambo ya kuteguka kiuno siyo!
SL kuja haraka sana, mimi nitamuwezesha akitaka, nitamsemea akinitajia