Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Pulizzzzzzz
Ntakuharibia
Nikanyage bahati mbaya nikulipue makusudi source: Figaniga
Ntakuharibia
Nikanyage bahati mbaya nikulipue makusudi source: Figaniga
Kongosho!
Kongosho!
Dada gani huyo? Dada Malaria Sugu.
za uwazi ziliishia na bwana ukapa.............
Samawani aunt!...nipo chini ya miguu yako!Pulizzzzzzz
Ntakuharibia
Nikanyage bahati mbaya nikulipue makusudi source: Figaniga
Samawani aunt!...nipo chini ya miguu yako!
Nimekukimbia kule kwa MS umenifuata tena huku? Kweli unanipenda, nsaidie kumtafuta Kongosho nimwombe msamaha!una ulivyo na nidhamu hafifu sasa...
kudondokeana na kihehere sio?Hizi ni za kiherehere basi
Nimekukimbia kule kwa MS umenifuata tena huku? Kweli unanipenda, nsaidie kumtafuta Kongosho nimwombe msamaha!
Nambie unataka kumdondokea nani, tusije kugongana wakati wa kudondoka manake mie pia nna dalili za kumdondokea mtu!kudondokeana na kihehere sio?
sema haraka mi niombe mtu anidake kabla sijamdondokea
Nambie unataka kumdondokea nani, tusije kugongana wakati wa kudondoka manake mie pia nna dalili za kumdondokea mtu!
Nambie unataka kumdondokea nani, tusije kugongana wakati wa kudondoka manake mie pia nna dalili za kumdondokea mtu!
Cjui atanielewa tena huwa anakomenti nikitoa statuc
Mwanaume kujiamin,acha woga,funguka tu umweleze yako ya moyon ujue moja,wanaume hawaogopagi kukataliwa ,wavulana ndio huogopa hilo!
kudondokeana na kihehere sio?
sema haraka mi niombe mtu anidake kabla sijamdondokea
hahahaa lol...zama za JK hizi sio!!!Zama hizi wewe ukiwa na mtu unataka akudake unamwambia tu....full kiherehere, litakalotokea baada ya hapo, litajiju