popoma
JF-Expert Member
- May 5, 2017
- 2,378
- 3,362
Poa tu bossNiko poa vp wewe mdau?
Poa tu bossNiko poa vp wewe mdau?
Aiseeee unaonaje tuwe pair??I lov u too
Mpaka mwaka huu nipo salama kweli ni kwa neema yake na si kwa ujanja wetu....... Maana kwa jinsi nilivyovuruga hivyo viwanja +macheni jumlisha vibanda vya wahayaKama mtu ulipitapita huko na ukabaki salama mpaka leo hii ni neema ya aina yake
Mi tayari ni peyadiAiseeee unaonaje tuwe pair??
Aaaah,,,,,kumbe tayar basi haina noma mkuuMi tayari ni peyadi
Ahahaaaa asante mkuu kwa ulewaAaaah,,,,,kumbe tayar basi haina noma mkuu
Hukutarajia kama ningeelewa mapema hivi??Ahahaaaa asante mkuu kwa ulewa
Wengine ukiwaambia ukweli unakua adui. So ni wachache waelewaHukutarajia kama ningeelewa mapema hivi??
duh dk 10 kwa 500/= ! sasa hiyo 3000/= si ndio kukesha kabisa!?Pale ilikuwa madawa ya kulevya yanauzwa hadharan, mabanda ya picha za X, watu wanajiuza bei ya Mwisho 3000 tena Hiyo 3000 bila kinga, dk 10 sh 500. Kulikuwa na madangulo wanapanga kwa siku buku mkiwa kumi chumba kimoja mnamlipa Mwenye nyumba 10000 palikuwa uwanja wa fisi kweli saa moja hukatiz lazima ukabwe. Vibanda vya pombe ya kienyeji na kamali.
Ndio maana magomeni hata ukiotesha kitu hakioti
Duu mwananyamala kwa wahaya?
Kumbe hii Dunia inamambo mengi machafu ambayo hayapaswi hata kusimulia!Huyu ndo macheni mwenyewe?? Huyo kinyaiya ni shoga na kuna mwana flani maskani m'nyamala alikuwa anamkaza af anakuja kutupigia stori, mwanzon tulikuwa tunambishia tunaona km anatupanga c ndo siku akampigia simu kumuuliza amkute wapi akambandue asee
Popoma anapenda kuambiwa ukweli uadui hauna maanaWengine ukiwaambia ukweli unakua adui. So ni wachache waelewa