Kuna ardhi zimevimbiwa maovu

Kuna ardhi zimevimbiwa maovu

kuna nyakati pepo la kupenda machangudoa kama liliniandama nashukuru huku mikoani kwetu hakuna madanguro. ila dar kuna viwanja hatari. kuna bar huko buguruni malapa yaani unaingia michangudoa inakutazama hadi unajistukia na kuna wanaume wamekaa kihasara sijui ni mishoga ile dah
 
Akiwa na Ben KinyaiyaView attachment 618027wote hawa kwa nyakati tofauti walituhumiwa ushoga
BTW sikujua kuwa Macheni is no longer ⚰ Rip
Huyu ndo macheni mwenyewe?? Huyo kinyaiya ni shoga na kuna mwana flani maskani m'nyamala alikuwa anamkaza af anakuja kutupigia stori, mwanzon tulikuwa tunambishia tunaona km anatupanga c ndo siku akampigia simu kumuuliza amkute wapi akambandue asee
 
Huyu ndo macheni mwenyewe?? Huyo kinyaiya ni shoga na kuna mwana flani maskani m'nyamala alikuwa anamkaza af anakuja kutupigia stori, mwanzon tulikuwa tunambishia tunaona km anatupanga c ndo siku akampigia simu kumuuliza amkute wapi akambandue asee
Duuu.... Kumbe zile hazikuwa tuhuma tuu
 
Hahahah pole mkuu tatzo hukujua masakuu ndo pako hivyo njia ya kuelekea toilet kwa mbele ndo unakuta wamejazana kiasi kwmba ukitoka tu toilet watu wanajua umetoka kufanya service kumbe smtym unakuta mtu hata wazo huna,kuna pale round about ya kuelekea chamaz kuna ka bar kaliunguaga na moto panyewe ni maarufu kwa mchicha mwiba napitaga naona
Mbagala ipi? maana mbagala kubwa kiongozi
 
Pale ilikuwa madawa ya kulevya yanauzwa hadharan, mabanda ya picha za X, watu wanajiuza bei ya Mwisho 3000 tena Hiyo 3000 bila kinga, dk 10 sh 500. Kulikuwa na madangulo wanapanga kwa siku buku mkiwa kumi chumba kimoja mnamlipa Mwenye nyumba 10000 palikuwa uwanja wa fisi kweli saa moja hukatiz lazima ukabwe. Vibanda vya pombe ya kienyeji na kamali.
Duh! Niliwahi kuona documentary moja ya "uwanja wa fisi" utatamani kutoa machozi maisha jinsi yalivyokuwa pale
 
Jamani Kwa macheni ilikuwa ni zaidi ya Sodoma na Gomorrah. Niliwahi shuhudia pale jibaba linalambwa koni na shoga yaani mchana tu kule chooni na jamaa hakuwa na wasiwasi wowote yaani kuogopa watu kwenda chooni. Ile bar ilikuwa ni ya laana tupu.
Ndio maana magomeni hata ukiotesha kitu hakioti
 
Bro angu alipanga gheto karibu na kwa macheni miaka ya 2008 ! Bila kuniambia chochote akanipitisha pale ! Yaani niliona mapicha picha kama naota vile , naona wanaume si wanaume, wanawake si wanawake yaani balaa ! Namuuliza bro ni nini hii! ? Ananiambia bado huijui dar endelea kushangaaa! Aroooooo ! MUNGU HURUMA YAKE NI KUBWA SANA !vinginevyo tungeshateketezwa kitambo
 
Back
Top Bottom