Hapana Ila naifaham vizuri tuMkuu uko pande hizi nini?
Pia umesahau kuna pale wanapaita 'Chochote buku' napo naskia balaa lake sio dogoKwa macheni ilikuwa kiboko. Pande za mbagala kuna bar inaitwa masakuu ni shida sana
Sawa mkuu.Niko maeneo hayoHapana Ila naifaham vizuri tu
Hapana Sijawah pasikiaPia umesahau kuna pale wanapaita 'Chochote buku' napo naskia balaa lake sio dogo
Masakuu kuna siku nilikuwa napita sielew issue zinazofanyika usiku, mida ya saa Mbili nimebanwa na haja ndogo nikasema acha niingie hapa nijistir, Nimevaa kistara naingia watu wananishangaa nikaenda counter akanielekeza toilet nikaenda, nilipotoka nikawa Najiuliza kwanini wamenishangaa Sana sikupata jibu...Sawa mkuu.Niko maeneo hayo
Hapana mkuu hio ipo mbagara hatari tupuUwanja wa fisi manzese?
Pamevunjwa limebaki jina sio Kama ZamaniUwanja wa fisi manzese?
Hahahah pole mkuu tatzo hukujua masakuu ndo pako hivyo njia ya kuelekea toilet kwa mbele ndo unakuta wamejazana kiasi kwmba ukitoka tu toilet watu wanajua umetoka kufanya service kumbe smtym unakuta mtu hata wazo huna,kuna pale round about ya kuelekea chamaz kuna ka bar kaliunguaga na moto panyewe ni maarufu kwa mchicha mwiba napitaga naonaMasakuu kuna siku nilikuwa napita sielew issue zinazofanyika usiku, mida ya saa Mbili nimebanwa na haja ndogo nikasema acha niingie hapa nijistir, Nimevaa kistara naingia watu wananishangaa nikaenda counter akanielekeza toilet nikaenda, nilipotoka nikawa Najiuliza kwanini wamenishangaa Sana sikupata jibu...
Kuna siku nikakatiza mitaa Hiyo saa Saba usiku nakuta machangudoa Kibao halafu kulikuwa na ugomvi defender limepak, kuuliza wale niliongozana nao Ndio wakaniambia hapa ni masakuu ni maarufu kwa biashara ya "Kuku wa kizungu " Duh nikaunganisha dots nikasema Ndio maana walinishangaa kwa jins niliyokuwa Nimevaa kuingia pale
Sasa pale pembeni yake kuna dar live.Ule ukuta wa dar live kulikuwa na vibanda vya kuuza bia na kitimoto.Pale walikuwa wanaanza kujiuza saa moja usiku.Kuna siku nilipita kwenye huo uchochoro nilivutwa hadi shati likatoka vifungo.Masakuu kuna siku nilikuwa napita sielew issue zinazofanyika usiku, mida ya saa Mbili nimebanwa na haja ndogo nikasema acha niingie hapa nijistir, Nimevaa kistara naingia watu wananishangaa nikaenda counter akanielekeza toilet nikaenda, nilipotoka nikawa Najiuliza kwanini wamenishangaa Sana sikupata jibu...
Kuna siku nikakatiza mitaa Hiyo saa Saba usiku nakuta machangudoa Kibao halafu kulikuwa na ugomvi defender limepak, kuuliza wale niliongozana nao Ndio wakaniambia hapa ni masakuu ni maarufu kwa biashara ya "Kuku wa kizungu " Duh nikaunganisha dots nikasema Ndio maana walinishangaa kwa jins niliyokuwa Nimevaa kuingia pale
😀😀😀😀😀😀😀 ilipoungua watu walikimbia watupu nasikiaHahahah pole mkuu tatzo hukujua masakuu ndo pako hivyo njia ya kuelekea toilet kwa mbele ndo unakuta wamejazana kiasi kwmba ukitoka tu toilet watu wanajua umetoka kufanya service kumbe smtym unakuta mtu hata wazo huna,kuna pale round about ya kuelekea chamaz kuna ka bar kaliunguaga na moto panyewe ni maarufu kwa mchicha mwiba napitaga naona
Napafaham paleSasa pale pembeni yake kuna dar live.Ule ukuta wa dar live kulikuwa na vibanda vya kuuza bia na kitimoto.Pale walikuwa wanaanza kujiuza saa moja usiku.Kuna siku nilipita kwenye huo uchochoro nilivutwa hadi shati likatoka vifungo.
Ila kwa sasa pamebomolewa na kuna frames za biashara
Hahaha pale ilikuwa zamani siku hz nawasiwasi na vile vibanda vya pale pembeni na hosptal ya zakhemSasa pale pembeni yake kuna dar live.Ule ukuta wa dar live kulikuwa na vibanda vya kuuza bia na kitimoto.Pale walikuwa wanaanza kujiuza saa moja usiku.Kuna siku nilipita kwenye huo uchochoro nilivutwa hadi shati likatoka vifungo.
Ila kwa sasa pamebomolewa na kuna frames za biashara
😀😀😀😀 mkuu acha kabisa alafu baada ya pale si nyingi kameshakarabatiwa kamerudi kama zamani na watu wanaenda kupata service😀😀😀😀😀😀😀 ilipoungua watu walikimbia watupu nasikia
Na kwl kbsa unatakiwa uzunguke zunguke ili uje kupata cha kuhadithia huko mbeleni hata kwa vizazi vyakoUmekosa maarifa mengi