ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,690
Mtu yeyote mwenye tatizo la kubeba mimba ni mgumba
Mimi nimesoma nimeelewa wewe unachong'ang'ania ni asubiri mwaka mzima yeye anakwambia mke wake alikuwa anapata maumivu wakati wa hedhi na akashauriwa hivi na hivi...akaenda kumuona huyo dokta kapewa dawa bahati nzuri kapone(japo hana uhakika kama ni hizo dawa) sasa alitaka aendelee kukaa na maumivu mwaka mzima kisa tu cha huo utaalamu unaosema wewe?
Wewe inavyoonekana hujawahi hata kuongea na mgonjwa na hujui jinsi ya kupembua taarifa ya mgonjwa kujua sababu ya yeye kwenda hospital. Sio kosa lako ila ni vizuri ukajenga tabia ya kukubali kujifunza. Otherwise mtakuwa mnatapeliwa kila siku.