daah jamaa anatumia pesa nyingi sana kujitangaza
Then??
daah jamaa anatumia pesa nyingi sana kujitangaza
Then ? Nini ww kama ww unamjua cc hatumjui acha hizooo
Mganga mkuu mfawidhi wa clinic ya mitishamba😀😀😀😀
Mganga wa kina mama na anawala sana wagonjwa wake Hana lolote
Nahesgumu
Naheshimu tu sheria za nchi ningefunguka mpaka mwisho. Ngoja lowassa aingie madarakani tutanyooshana tu nchi hii