GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,451
- 127,626
Na wewe kama unaumwa magonjwa ya kike si uende akakutibu??
Mkiwa Ktk Hedhi Huwa Mna Matatizo Sana. Umeshabadili Nanihiiiii................?
Na wewe kama unaumwa magonjwa ya kike si uende akakutibu??
Cku izi watu wameongeza maarifa, kwaiyo ukiona wamelala usiogope kuchuna hata km unaharibu utaja tubu dhambi taratibu, mana kuitwa mwenye heri kwa sasa si kuwa mwema ktk vitendo balo kuja kuanza kutoa misaada mingi baada ya kuharibu nyuma na hapa ndipo panaitwa #Bongoland
Kwahiyo Yeye Hakutaka Ku Specialize Koooooooooooote Na Akaona Abobee Tu Ktk Kuwatibu Jinsia Ya KIKE? Duh! Basi Jamaa Kalenga Kweli.
mbona mahospitalini wamejaa madaktari Wa magonjwa ya akina mama ,
Mi nilimpeleka mke wangu nimepigwa laki tatu na wife tatizo bado,,,had nikampeleka kwa kairuki
kasomee wewe ya kinababa.....
kasomee wewe ya kinababa.....
Tembelea kwenye nyumba za ibada za manabii utaona idadi kubwa ni KE coz wepesi kuamini kila kitu so wajasirianali wanatumia udhaifu huo kupiga pesa
Ova
Mi nilimpeleka mke wangu nimepigwa laki tatu na wife tatizo bado,,,had nikampeleka kwa kairuki
kasomee wewe ya kinababa.....
Mi nilimpeleka mke wangu nimepigwa laki tatu na wife tatizo bado,,,had nikampeleka kwa kairuki