Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,889
Kaibiwa humu humu ila nilimpata naalikuwa serious lakini shida ipo hivi alikuwa sio mkristo ni muislam sema tulipendana aliyeko naye basi kaopoaMtaje shemeji yetu tumjue
Kaibiwa humu humu ila nilimpata naalikuwa serious lakini shida ipo hivi alikuwa sio mkristo ni muislam sema tulipendana aliyeko naye basi kaopoaMtaje shemeji yetu tumjue
Sama km unatafuta.. Sisi tupoHusika na kichwa cha habari hapo juu.
Kuna waliowahi kukutana humu na kuwa wapenzi ukweli ukweli?
Duuhhh kaka kwahy umetumia ID ya kike ili upate followersNahisi wapo, nina ID yangu ya kike kuna PM nyingi za wanaume humu na namba zao za simu wa etuma ila nawazungusha. Kama kweli ningekuwa dem ningewakubali walao wawili.
Hiyo ID ina Followers, wakati hii ni ya kitambo sina follower hata mmoja.
Padre ananipenda always lakiniHuku jf ni kuliwa tunda kimasihara afu unaachwa
Swala la kupewa wa kufanana naye kwa upande wangu ni gumu mno. Mimi sitaki wa kufanana na mimi tabia, maana najijua.Mimi nilipata mke humu na tulifunga ndoa na sasa tunafamilia kubwa ya watoto wawili wazuri wa kiume.
Na ni mke mwema. Tena ni member wa siku nyingi humu jf, mnataka niwatajie ID yake?
Mke mwema au mume mwema anapatikana popote haijalishi ni jf au fb au insta , kanisani, disco, tamashani ,ila ni wewe na MUNGU wako, ukikaa sawasawa na MUNGU wako atakupa wa kufanana na wewe toka popote pale atakapo kuwepo.
Jiondolee mipaka.
Ukiendelea nayo sawa ukibadilisha sawa, lakini mimi natumia ileile na anaijua na yake naijua na password kanipaUkishampata unaendelea na ID yako ile ile au unabadilisha
Ukiwa serious unapata watu seriousHuku jf ni kuliwa tunda kimasihara afu unaachwa
Wewe unatabia gani,ambazo hutaki mkeo mtalajiwa awenazo?Swala la kupewa wa kufanana naye kwa upande wangu ni gumu mno. Mimi sitaki wa kufanana na mimi tabia, maana najijua.
Niliwahi pata msukuma kumbe mme wa mtu alinificha. Ila alikuwa mtamu sana kitandani madikodiko Kama yote . Tatizo lake alikuwa mbahiri sana yaani hela yake huwezi kuipata nikambwaga.
Uaminifu kwenye mapenzi ni tatizo kwanguWewe unatabia gani,ambazo hutaki mkeo mtalajiwa awenazo?