NetConfig
Member
- Nov 11, 2010
- 18
- 0
RUTUNGA!! kama umeweza kunisoma katika kuwajibu wadau maswali yao ni kwamba ni freelancer i got no office right now,Nimeshtukaaaaaaaaaaa!kuniondoa kwenye wasiwasi nijuze haya1.Eneo ilipo ofisi yako hapo Arusha .2.Namba ya simu hata ya mezani. 3.Jina la kampuni yako hata kama we ni agent . 3.Nakuhakikishia kuwa hukinijibu hayo hapa JF siyo kuni PM nitadili nawe kibiashara.
2.number ya simu hata ya mezani???? (sina simu ya mezani ninayo hii 0789100900 nadhani inaweza kuwa na mawasiliano pia) pia usikariri masimu ya mezani tu ndo ikuhakikishie unaweza kupata mzigo wako hivi we :redfaces:
agiza tu kama unataka kuagiza ninachokifanya mimi ni kuhakikisha unapata gari unalotaka pesa zote zaenda japani i dont collect a single coin here