Waungwana naomba kuwajulisha na kuwaomba support yenu kwa mtu ambaye anahitaji kuagiza gari toka japana naomba ani pm au ani e-mail kwa n.config@gmail.com mie ni agent wa hii kampuni kwa Tanzania, Grade ni nzuri na bei pia ni nzuri tafadhali tembelea Jimex Co., Ltd.
Kama una swali lolote uliza usisite
KARIBUNI SANA.
Asante ingawa iko ibishara zaidi lakini nina tu-maswali kadhaa.1.Kwanza mimi kipato changu cha kitanzania siyo kibaya sana ingawa sikuwa na mpango kabisa wa kufikiria kununua gari lakini baada ya kutazama bei kwenye link uliyoweka nimeshawishika kuuliza.2.Nimeona gari linalouzwa dola takribani 1,800 na mengine dolla 2,000 Hivi haya magari ni used kwa maana ya kuwa yametembea KM nyingi au ni poromotion kwani wenye magari hutupiga mkwara sisi wenye pipikpi kuwa siku hizi magari ni kuanzia dolla 4,000 na kuendeleaEbu nipe ufafanuzi kwa hayo magari sifa zake nk hasa kuhusu KM nas vitu vya ziada
Mimi nimezoea kuona bei za CIF, ungefanya hivyo nami ningependa sana. Natumaini pia unazo taarifa magari mazee ya zaidi ya miaka 10 yanalipiwa ushuru mkubwa sana hapa Tanzania, kwa maana nyingine hayatakiwi. Nitakuandikia kwa email yako nikueleze mahitaji yangu, yako magari mawili niliyopenda.
Ofisi zako zilipo ndo swala la msingi kwani ma agent wa brefcase niwengi,tunataka kujua kama autorec jmall hall,cbs international house,carjunction,ubungo plaza,etc je wewe??
Kukuhukumu siwezi lakini mimi ninazo taarifa kutoka ubalozi wa japan wakiwataadhalisha wananchi kuwa makini na cyber company's sasa kama unasema habari za cyber ukawa hujui matumizi ya cyber naona wewe utakuja kujuta siku moja!!,Kwanza fahamu nilahisi kuwa na web yako nani rahisi wewe kuweka web yako ukiwa ba address za japan kwakushirikiana na wenyeji hivyo nakuomba usije ukawapoteza wananchi wakapoteza pesa zao kwa fake cyber'sUsinihukumu KakaKiiza lakini-katika ulimwengu wa leo jibu la uaminifu sio kuwa na ofisi,cyber offices ndio watu wanakoelekea.<br />
Wewe la maana kwako ni kuwa na uhakika wa kulipata gari ulilo order bila kudhulumiwa, hao wenye ma office unaowataja wengine wameisha rudi huko unapomuuliza ndg yetu. Autorec kwa taarifa yako wameona biashara ya kulipia ofisi imepitwa na wakati.Maana hiyo gharama ya ofisi ya hapo JM Mall walishindwa wambwagie nani,maana waswahili kila siku wako kwenye mitandao.<br />
Nakutakia ununuzi mwema.<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/A S 109.gif" border="0" alt="" title="A S 109" smilieid="98" class="inlineimg" />
Nahitaji trekta...nipe bei
Rutunga pole sana katika km utachakachuliwa!!!!walishajua watanzania mnaamini gari km chache ndiyo gari bora wenziyo sikuhizi wana softwere za magari yote kwakutuia dignosis system kwa magari ya yanayotumia digital ODM,wanauwezo wakurudisha sufuri!!!!habari ndiyo hiyo mara nyingi wamekuwa wakiishia katika km 55!!!......tia akili katika ununuzi wagari!Asante ingawa iko ibishara zaidi lakini nina tu-maswali kadhaa.1.Kwanza mimi kipato changu cha kitanzania siyo kibaya sana ingawa sikuwa na mpango kabisa wa kufikiria kununua gari lakini baada ya kutazama bei kwenye link uliyoweka nimeshawishika kuuliza.2.Nimeona gari linalouzwa dola takribani 1,800 na mengine dolla 2,000 Hivi haya magari ni used kwa maana ya kuwa yametembea KM nyingi au ni poromotion kwani wenye magari hutupiga mkwara sisi wenye pipikpi kuwa siku hizi magari ni kuanzia dolla 4,000 na kuendeleaEbu nipe ufafanuzi kwa hayo magari sifa zake nk hasa kuhusu KM nas vitu vya ziada
Mkuu asante kwakunikaribisha ila swali langu ni wewe kueleza ofisi yako ikowapi na wapi mimi nitafatilia kama nikiona mda tulio ahaidiana unapita???swali lakwanza!pili mimi nawajua watu wamelia na ofisi za cyber!!binafsi mimi sijashawishika labda uwambie watanzania wenzako niwapi watakupata kama ucheleweshwaji wa magari yao utakapotokea??!!kaka kiiza naomba nikushukuru kwa swali lako kama mdau hapo chini alivyokujibu ni kweli kwamba kutokana na utandawazi uliopo inakuwa ni vigumu sana kufanye setup ya office kulingana na gharama za uendeshaji ninachotaka kukuhakikishia ni kwamba ninahakikisha unapata gari ambalo ni zuri na linalingana na specification zako ambazo unazitaka na kuna wataalamu wetu ambao watakushauri kama specification zako ulizotoa zinaweza kukuletea dosari baadae magari yote hukaguliwa na Engineers wa Jimex Ltd kabla hayajapelekwa kwa JAA ambao niwakaguzi pia wa magari kabla ya shipping..<br />
<br />
Karibu sana
Mkuu bei inakuwa siri???kwanini usiweke hadhalani??kama nimfanyabiashara wakweli??mbona tukifungua mitandao bei iko wazi iweje wewe??twambie siri yake au unataka ukamate ng'ombe wako bila bughudha??Mkuu naomba uni email ni ana gani ya trecta unahitaji nitashughulikia ombi lako mapema na haraka<br />
asante.
Rutunga pole sana katika km utachakachuliwa!!!!walishajua watanzania mnaamini gari km chache ndiyo gari bora wenziyo sikuhizi wana softwere za magari yote kwakutuia dignosis system kwa magari ya yanayotumia digital ODM,wanauwezo wakurudisha sufuri!!!!habari ndiyo hiyo mara nyingi wamekuwa wakiishia katika km 55!!!......tia akili katika ununuzi wagari!
Mkuu bei inakuwa siri???kwanini usiweke hadhalani??kama nimfanyabiashara wakweli??mbona tukifungua mitandao bei iko wazi iweje wewe??twambie siri yake au unataka ukamate ng'ombe wako bila bughudha??
Mkuu asante kwakunikaribisha ila swali langu ni wewe kueleza ofisi yako ikowapi na wapi mimi nitafatilia kama nikiona mda tulio ahaidiana unapita???swali lakwanza!pili mimi nawajua watu wamelia na ofisi za cyber!!binafsi mimi sijashawishika labda uwambie watanzania wenzako niwapi watakupata kama ucheleweshwaji wa magari yao utakapotokea??!!
Karibu sana kaka kiiza kwenye ulingo wa wanaotembea na miguu minne binafsi nimependa maswali yakoMimi nimeshukuru kwakunielewa kwa maswali yangu ya msingi na umeweza kusema hupo arusha tz,hivyo nirahisi kudeal nawewe nadhani katika biashara kama unataka kuitangaza unatangaza fiziko address siyo kwakifupi mimi nipo mza na web basi!kuna nchi nyingi bila kuweja fiziko address uwezi kudili nao!landline,fax ni muhimu japo japo aizuii uhalifu kufanyika inakushahuri ili na mimi kakakiiza nishawishike ungejinadi zaidi ya hapo!!
kakakiiza nakushukuru usiwe na wasi wasi we agiza gari lako na utalipata ontime na bila usumbufu