Kuna aina 2 za ndoa. Je, yako ni ipi?

Kuna aina 2 za ndoa. Je, yako ni ipi?

USED, teh hiyo babu kubwa haina kuumizana tena.
 
Bwana YESU asifiwe!

Aina ya kwanza ya ndoa ni:

1.Ndoa ya kutungua
> Hii ni ile ndoa ambapo watu wanakutana tu na kupendana na hapohapo wanaanza mahusiano kwenda guest. Huyu anasema "nimekuzimia" na huyu anasema "na mimi nimekuzimia" kisha wanakwenda kuzimika pamoja guest. Ndoa hii inafananishwa na nguo dukani umeona unataka,ukiona nyngne nzr unataka kwa iyo unatungua tu.

Aina ya pili:

2.Ndoa ya mashono

> Hii ni ndoa inayofananishwa na nguo kushona kwa fundi. Hapa kuna utaratibu vipimo lazima vifanyike vzr kuona kama inakutosha. Hii ndipo taratibu za kikanisa zinafuatwa bila hata ya kukutana kimwili.

>Ndoa hii pia ina baraka kwa kuwekewa mikono na wachungaji.

> Ninawaombea MUNGU awape NEEMA ya kufunga ndoa ya mashono katika jina la YESU KRISTO.

AMEN
mkuu kuna aina mbili za ndoa , ya mke mmoja na ya wake wengi.. cjaelewa hizo umetoa wapi... ila hongera umefikiria
 
Acha porojo wewe usiyejua maana ya ndoa. hadi uzinzi unasema ni ndoa. upo serious kweli? halafu unatuaminisha kuna aina mbili za ndoa kama ulitaja hapo juu. Umetumia vigezo gani hapo?



Hapa Duniani Kuna Aina Kuu 2 Za Ufalme Tu.
1. Ufalme Wa Mungu,na
2. Ufalme Wa Shetani.

Maana Mtu Asipokuwepo Kwa Mungu Basi Atakuwepo Kwa Shetani. Na Ndivyo Ndoa Isiyo Na Mungu, Itakuwa Na Shetani.

Bado Natoa Wito Kwa Vijana Na Mabinti Kumrudia Mungu Ili Yeye Atawale Maisha Yetu,na Tumpate Mke/mume Alye Sahihi
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Back
Top Bottom