Mwanawalwa
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 1,014
- 301
Mungu Akubariki Na Akuwezeshe Umpate Aliyekusudiwa Ktk Jina La Yesu Kristo.
dah dunia hii kuna dada mmoja yeye na vijana wenzake walikuwa katika shughuli za kiinjilishaji wakisafiri kwenda nchi za nje kuinjilisha cha ajabu nilikutana nae juzi kati hajafunga ndoa ila wajanja washamla yani li mimba duh nikajisemea huyu si alikuwa muinjilishaji ilikuwaje tena , sikutaka kumwuliza chochote ila aliponiona alitaharuki akajifanya hajaniona mimi nikamshika bega nikamsalimia akavunga mmh nilikusahau my dear , nadhani yeye ni zile ndoa za kutunga