Kuna aina 2 za ndoa. Je, yako ni ipi?

Kuna aina 2 za ndoa. Je, yako ni ipi?

Bwana YESU asifiwe!

Aina ya kwanza ya ndoa ni:

1.Ndoa ya kutungua
> Hii ni ile ndoa ambapo watu wanakutana tu na kupendana na hapohapo wanaanza mahusiano kwenda guest. Huyu anasema "nimekuzimia" na huyu anasema "na mimi nimekuzimia" kisha wanakwenda kuzimika pamoja guest. Ndoa hii inafananishwa na nguo dukani umeona unataka,ukiona nyngne nzr unataka kwa iyo unatungua tu.

Aina ya pili:

2.Ndoa ya mashono

> Hii ni ndoa inayofananishwa na nguo kushona kwa fundi. Hapa kuna utaratibu vipimo lazima vifanyike vzr kuona kama inakutosha. Hii ndipo taratibu za kikanisa zinafuatwa bila hata ya kukutana kimwili.

>Ndoa hii pia ina baraka kwa kuwekewa mikono na wachungaji.

> Ninawaombea MUNGU awape NEEMA ya kufunga ndoa ya mashono katika jina la YESU KRISTO.

AMEN

Sijaelewa😳😳
 
Ameeen.Bwana Yesu akupe haja ya moyo wako.hata mie nitapata hiyo ya pili kwa jina la Yesu



Hmgeren Sana,na Hiyo Ya Pili Ndiyo Ya Mpango Wa Mungu, Ambayo Haina Majuto, Michepuko, Magomvi, Usaliti, Kwan Neema Ya Mungu Itawakalia Siku Zote.

Mithali 19:14-15,
 
Mimi nataka hiyo ya Pili , and by the Grace of God its on the way in Jesus name.. Amen..



Kuwa Mke Ni Kuwa Msaidizi. Na Ili Uwe Msaidizi Mzuri Ni Lazima Kijana Akuambie Kusudi La Mungu Alilopewa.
>Maana Usipojua Kusudi Lake Mtakuwa Vichwa Viwili Ndani.

> Na Ww Pia Lazma Ujue Sifa Za Mume
 
Kuwa Mke Ni Kuwa Msaidizi. Na Ili Uwe Msaidizi Mzuri Ni Lazima Kijana Akuambie Kusudi La Mungu Alilopewa.
>Maana Usipojua Kusudi Lake Mtakuwa Vichwa Viwili Ndani.

> Na Ww Pia Lazma Ujue Sifa Za Mume

Well said.. Amen..Thanks .
 
SASA Uliingiaje Kwa Kuzimikiana? Au Kimaombi? Kama Hapo Haupo Basi Utakuwa Single.

Illovo Nina ndoa ya dini kabisa ILA hapa sijaiona ndo maana nkakuuliza M not single upo!!!
 
Last edited by a moderator:
Shake well before use

Hiyo ndo habari, kisa cha kuingia kichwa kichwa afu nikakutane na team kibamia au team mandingoo...ntalia na nani?

Kina cha maji hakipimwi kwa kuyatazama.....
 
Hiyo ndo habari, kisa cha kuingia kichwa kichwa afu nikakutane na team kibamia au team mandingoo...ntalia na nani?

Kina cha maji hakipimwi kwa kuyatazama.....

Shikamoo umetupa jongoo na mti wake?hamna shida tutakutana 07 september
 
Shikamoo umetupa jongoo na mti wake?hamna shida tutakutana 07 september

Jamani, marhabaaa...majanga tu pacha ake, ila tushukuru Mungu tumekutana tukiwa na afya teleee...
 
Back
Top Bottom