Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Hapo vip!!
Nimekuja kugundua kunatofauti kubwa sana kati ya mwanamke wa kiafrika na mwanamke wa kizungu.
Binafsi nimeshakuwa na mahusiano na msichana wa kizungu ambaye ni Mspain,pia na wanawake wa kiafrika.
Tofauti.
Mwanamke wa kiafrika ukimuonyesha unampenda tegemea yafuatayo :-
1.Anakuwa na kiburi then anatumia hiyo hali kama nafasi ya kukutesa.
2.care inakuwa zero,hawezi kujali,yaani usipo angalia utakuwa mtumwa wa ndoa.
3.Ni raisi sana kukucheat au kuchepuka na wahuni kwasababu ameshajua unampenda Sana.
4.Atakuringia sana na kuonyesha madharau ya kishamba huku moyoni ukukata mawasiano anaanza kukutafuta mwenyewe bila haya.
5.Tegemea majibue ya karaa,yasiyobembeleza.
6.Atatumia nafasi hiyo kukutawala
Nimegundua dawa ya hao nikuonyesha hauwajali na hauwapendi becouse wameumbwa waonyeshe hivyo,kama babu zetu zamani ndio maana wamedumu nao.
Mzungu.
Mimi nilishakuwa na mahusiano na msichana wa kizungu.
1.Anaheshimu hisiana za mpenzi wake.
2.Akijua umempenda inakuwa two ways traffic,atakuwa na ww karibu achunguze na ajiridhishe kama kweli unampenda.
3.Mkitoka out kula mingo anakuambia please my love,you can't pay everything.
4.wanacare sana sijawahi kuona.
5.wapo open-minded.
6.wanawahishimu Sana wapenzi wao.
Of course now yupo Denmark anasoma master.
Nimekuja kugundua kunatofauti kubwa sana kati ya mwanamke wa kiafrika na mwanamke wa kizungu.
Binafsi nimeshakuwa na mahusiano na msichana wa kizungu ambaye ni Mspain,pia na wanawake wa kiafrika.
Tofauti.
Mwanamke wa kiafrika ukimuonyesha unampenda tegemea yafuatayo :-
1.Anakuwa na kiburi then anatumia hiyo hali kama nafasi ya kukutesa.
2.care inakuwa zero,hawezi kujali,yaani usipo angalia utakuwa mtumwa wa ndoa.
3.Ni raisi sana kukucheat au kuchepuka na wahuni kwasababu ameshajua unampenda Sana.
4.Atakuringia sana na kuonyesha madharau ya kishamba huku moyoni ukukata mawasiano anaanza kukutafuta mwenyewe bila haya.
5.Tegemea majibue ya karaa,yasiyobembeleza.
6.Atatumia nafasi hiyo kukutawala
Nimegundua dawa ya hao nikuonyesha hauwajali na hauwapendi becouse wameumbwa waonyeshe hivyo,kama babu zetu zamani ndio maana wamedumu nao.
Mzungu.
Mimi nilishakuwa na mahusiano na msichana wa kizungu.
1.Anaheshimu hisiana za mpenzi wake.
2.Akijua umempenda inakuwa two ways traffic,atakuwa na ww karibu achunguze na ajiridhishe kama kweli unampenda.
3.Mkitoka out kula mingo anakuambia please my love,you can't pay everything.
4.wanacare sana sijawahi kuona.
5.wapo open-minded.
6.wanawahishimu Sana wapenzi wao.
Of course now yupo Denmark anasoma master.