Wewe hapohuyo wa kiafrica mbona hujasema yupo wapi?
DisasterEeh aseeh.
Mkuu nipe hiyo akili uwanja umeinama. HukuWanawake wote wako sawa, haijalishi mzungu, msomi, mwarabu, asiesoma nk, wote akili yao iko sawa ila hua wanatofautiana kutokana na jamii waliokulia, makuzi yanaweza kuwatofautisha wanawake.
Mimi wanawake walinisumbua awali nilipokua sijawajua vizuri, baada ya kuwajua na kuwafaham hawajawahi kunisumbua tena. Nashukuru sijui hii akili ya kuwajua wanawake niliitoa wapi, naishi nao kwa amani sana.
Yaaan alichokizungumza hapa ni vise versa, hii ni tabia ya wanaume!Mbona hata wanaume wa kiafrica wapo wenye tabia hizo
Komaa na wazungu basi
Videmu vya uswahili ni shida sana Mimi nipo kademu cha kifaransa uku Senegal kimtndo yanasongaVingunguti kwa, bi. Khadija kidawa..
Asanteeeeee sanaHao wanawake wa kiafrika ndio wanazaa wanaume wa kiafrika so tukiwasema tujue na sisi tuko na baadhi ya tabia kama zao. Cha muhimu ni kupiga vita umaskini especially kwa mtoto wa kike.
Namkumba fala fulan hv wakuitwa felister ***** aliniendesha 2012 kabla sijamtemaUko sawa mkuu bimademu ba kibongo shuruti tu ndo mnaenda Sawa, ata awe mzuri kiasi gani ukimwonesha unampenda utaitwa majina. yote,Mara Kisoda na mengineo,natakutesa Balaa
Ok, hongeraVidemu vya uswahili ni shida sana Mimi nipo kademu cha kifaransa uku Senegal kimtndo yanasonga