The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 968
- 1,062
Wakuu kwema?
Mimi nikianzisha mahusiano na mwanamke ni ngumu sana kuniacha yaani mpaka nawaoneaga huruma kabisa wakati mwingine maana kuna wengine wanakuambia mimi sibabaishwi na mwanaume alafu mwisho wa siku anakua mnyonge sana kama Sio yeye vile.
Mimi nikianzisha mahusiano na mwanamke ni ngumu sana kuniacha yaani mpaka nawaoneaga huruma kabisa wakati mwingine maana kuna wengine wanakuambia mimi sibabaishwi na mwanaume alafu mwisho wa siku anakua mnyonge sana kama Sio yeye vile.