Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 20,274
- 50,085
Acha mama nawajua fureshi mtu yeyote akijua anapendwa kifuatacho ni maringo na nyodo kwa mpendaji badala akulipe kwa wema ndo kwanza unalizwa tuYaaan alichokizungumza hapa ni vise versa, hii ni tabia ya wanaume!
Mwanaume ukilogwa ukamuonesha unapenda, utajuta!...ni utanyanyaswa, dharau, kiburi, na kuamini kuwa huna pa kwenda! Nina ushahidi wa ndugu zangu, marafiki zangu waliofanyiwa hivo na wanaume zao!