Kumuonesha mwanamke wa kiafrika unampenda ni kosa kubwa sana

Yaaan alichokizungumza hapa ni vise versa, hii ni tabia ya wanaume!

Mwanaume ukilogwa ukamuonesha unapenda, utajuta!...ni utanyanyaswa, dharau, kiburi, na kuamini kuwa huna pa kwenda! Nina ushahidi wa ndugu zangu, marafiki zangu waliofanyiwa hivo na wanaume zao!
Acha mama nawajua fureshi mtu yeyote akijua anapendwa kifuatacho ni maringo na nyodo kwa mpendaji badala akulipe kwa wema ndo kwanza unalizwa tu
 
Yaaan alichokizungumza hapa ni vise versa, hii ni tabia ya wanaume!

Mwanaume ukilogwa ukamuonesha unapenda, utajuta!...ni utanyanyaswa, dharau, kiburi, na kuamini kuwa huna pa kwenda! Nina ushahidi wa ndugu zangu, marafiki zangu waliofanyiwa hivo na wanaume zao!
Kweli kabisa swala hili ni kwa pande zote sema wanaume wengi hupenda kujivika umalaika.
 
A man will never get a woman he wants but he can cultivate the woman he has/wants to meet his needs/dreams/visions.

Be positive and take time to learn and understand the basic needs of a man and a woman in a relationship.
 
Kila mara huwa nawawashia moto watu wa ulaya na marekani kwa kuichukulia Africa kama ni Nchi moja. Hali kadhalika wazungu nao wapo tofauti sana, kutokana na mila na desturi za nchi zao husika, kama vile tulivyo waafrica, tunafanana lakini tamaduni tofauti. Kwa experience yangu inategemea, kama mwanamke amekupenda kwa dhati,basi haijali hata awe mgagagigikoko, atakupenda, hatachepuka na mtasaidiana kwenye kheri na shari (ila wako wachache kweli wa dizaini hii). Ni mtazamo wangu tu.
 
Hapo vip!!

Nimekuja kugundua kunatofauti kubwa sana kati ya mwanamke wa kiafrika na mwanamke wa kizungu.

Binafsi nimeshakuwa na mahusiano na msichana wa kizungu ambaye ni Mspain,pia na wanawake wa kiafrika.

Tofauti.
Mwanamke wa kiafrika ukimuonyesha unampenda tegemea yafuatayo :-
1.Anakuwa na kiburi then anatumia hiyo hali kama nafasi ya kukutesa.
2.care inakuwa zero,hawezi kujali,yaani usipo angalia utakuwa mtumwa wa ndoa.
3.Ni raisi sana kukucheat au kuchepuka na wahuni kwasababu ameshajua unampenda Sana.
4.Atakuringia sana na kuonyesha madharau ya kishamba huku moyoni ukukata mawasiano anaanza kukutafuta mwenyewe bila haya.
5.Tegemea majibue ya karaa,yasiyobembeleza.
6.Atatumia nafasi hiyo kukutawala

Nimegundua dawa ya hao nikuonyesha hauwajali na hauwapendi becouse wameumbwa waonyeshe hivyo,kama babu zetu zamani ndio maana wamedumu nao.

Mzungu.
Mimi nilishakuwa na mahusiano na msichana wa kizungu anaitwa Alicia Merino.
1.Anaheshimu hisiana za mpenzi wake.
2.Akijua umempenda inakuwa two ways traffic,atakuwa na ww karibu achunguze na ajiridhishe kama kweli unampenda.
3.Mkitoka out kula mingo anakuambia please my love,you can't pay everything.
4.wanacare sana sijawahi kuona.

5.wapo open-minded.
6.wanawahishimu Sana wapenzi wao.

Of course now yupo Denmark anasoma master.
Sasa si uendelee nae huyo mzungu?
 
Hapo vip!!

Nimekuja kugundua kunatofauti kubwa sana kati ya mwanamke wa kiafrika na mwanamke wa kizungu.

Binafsi nimeshakuwa na mahusiano na msichana wa kizungu ambaye ni Mspain,pia na wanawake wa kiafrika.

Tofauti.
Mwanamke wa kiafrika ukimuonyesha unampenda tegemea yafuatayo :-
1.Anakuwa na kiburi then anatumia hiyo hali kama nafasi ya kukutesa.
2.care inakuwa zero,hawezi kujali,yaani usipo angalia utakuwa mtumwa wa ndoa.
3.Ni raisi sana kukucheat au kuchepuka na wahuni kwasababu ameshajua unampenda Sana.
4.Atakuringia sana na kuonyesha madharau ya kishamba huku moyoni ukukata mawasiano anaanza kukutafuta mwenyewe bila haya.
5.Tegemea majibue ya karaa,yasiyobembeleza.
6.Atatumia nafasi hiyo kukutawala

Nimegundua dawa ya hao nikuonyesha hauwajali na hauwapendi becouse wameumbwa waonyeshe hivyo,kama babu zetu zamani ndio maana wamedumu nao..
Usemayo ni kweli kabisa. Akiona umeanza kupunguza mawasiliano, anaanza kukusumbua na malalamiko juu. Wa hivyo unasepa km ndege ya malaysia
 
Kumbe we ndo umejua leo! Hawa watu unavyozidi kuwapa attention ndo wanakuwa wanyama. Ni kawaida wao kukuta wanasema wanahitaji mwanamme anayejali ila hiyo fursa inapotokea na wakawa wameizoea husahau kabisa. Sasa hapo huanza madai mengine ambayo ni ya ajabu. La kufanya usiegemee sana kwa hawa viumbe.
 
Mie na mwajuma wangu huku kiembe mbuz hatuna shida akinuna mie nala kushea cost muhim mbona utam twapata wote
 
Back
Top Bottom