sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,743
- 6,236
Hii kampeni ya kutukana Millard Ayo matusi makubwa haitasaidia katika harakati zetu, I think we are attacking the wrong or weak person.
Huyu kijana hajawai kuongea jeuri kwa wananchi tofauti na watu kama kina diamond, hata kama kalipwa kupost baadhi ya vitu kama kampeni za CCM au kutopost baadh ya vitu, bado ni kiJana ambae hakupaswa kupewa matusi anayopewa.
Page ya Samia na viongozi wengine zipo, kwanini mumuandame kijana huyu? Kwanini hizi hasira zisielekezwe mahali sahihi? Lakini pia mama wa millard ayo amehusika vipi? Nadhan hii sio sawa kabisa.
Huyu kijana hajawai kuongea jeuri kwa wananchi tofauti na watu kama kina diamond, hata kama kalipwa kupost baadhi ya vitu kama kampeni za CCM au kutopost baadh ya vitu, bado ni kiJana ambae hakupaswa kupewa matusi anayopewa.
Page ya Samia na viongozi wengine zipo, kwanini mumuandame kijana huyu? Kwanini hizi hasira zisielekezwe mahali sahihi? Lakini pia mama wa millard ayo amehusika vipi? Nadhan hii sio sawa kabisa.