Kumsamehe aliye kusaliti

Kumsamehe aliye kusaliti

Sasa mkuu kadi za benki za kwake ulizonazo na umiliki wa mapato yake ndio sababu inayokusumbua na kushindwa kutoa maamuzi au ni moyo wako na nafsi kutokana na kosa alilolitenda.Inaonekana upo interested na material things kuliko mapenzi na amani ndani ya ndoa yako. Inawezekana hii ikawa ni sababu kubwa ya mke wako kuchepuka,anakosa attention kutoka kwako. Sema na moyo wako kuhusu kumsamehe,je bado unampenda? Na mapenzi hayo uliyonayo kwake yataendelea kuwepo baada ya kumsamehe? Kama jibu ni ndio msamehe,kama ni hapana basi mwache aende kuepusha migogoro itakayotokea baada ya hili kujitokeza kati yenu. Acha kuwaza umiliki wa material things kwenye swala linalohusu hisia.
Nimekupata vizuri sana mkuu ushaur mzur saana kiukwel bado nampenda saana na yeye anaheshima saana hajawahi nionesha Ile dharau yaani Sasa sijajua huwa anapatwa nanini Paka anaamua kunisaliti

Kibaya zaidi Hua ananisaliti ambapo Hua hata hatupo katika conflict na waala nakua sijamkwaza

Inshort npo mkwel kwake 100% sijawahi mcheat muda wote na tuna five years

NB... Nampenda ila kila nkimuona na nkiifkilia yalotokea naumia sana
 
Habarini wana JF,

Hivi watu mlioko kwenye mahusiano ikitokea kakusaliti utamsamehe au utafanyaje? Na Je kuna watu ambao washawahi salitiwa na wakasamehe especially kama walikuwa wanawapenda sana wake zao?

Naombeni majibu wakuu
Baada ya msamaha aliyesamehewa anaanza kuwa na wasiwasi na aliyemsamehe.
 
Wengi huwa hawaachani pindi wakamatwapo bali huwa wanatafuta mbinu mpya ili wasikamatwe tena.
Kuachana mpaka mmoja achoke au afanyiwe udanganyifu lakini sio kuachanishwa na mtu mwingine.
 
Nimekupata vizuri sana mkuu ushaur mzur saana kiukwel bado nampenda saana na yeye anaheshima saana hajawahi nionesha Ile dharau yaani Sasa sijajua huwa anapatwa nanini Paka anaamua kunisaliti

Kibaya zaidi Hua ananisaliti ambapo Hua hata hatupo katika conflict na waala nakua sijamkwaza

Inshort npo mkwel kwake 100% sijawahi mcheat muda wote na tuna five years

NB... Nampenda ila kila nkimuona na nkiifkilia yalotokea naumia sana
Angalia sana isije ikakusababishia Magonjwa ya moyo sio hilo tu hata magonjwa ya zinaa na mengineyo kama anafanya kuwa ni sehemu ya tabia na hulka yake hakufai hata kidogo hilo ni tatizo kubwa sana.Unapomsaliti mapenzi lets say mume au mke akashuhudia na akasamehe nadhani huwa ni muda mzuri wa kutafakari,kutubu na kuujenga upya uhusino wenu kiimani lkn kama mtu anarudia yale yale hiyo ni sumu kali sana kwako kimbia mapema.
 
Angalia sana isije ikakusababishia Magonjwa ya moyo sio hilo tu hata magonjwa ya zinaa na mengineyo kama anafanya kuwa ni sehemu ya tabia na hulka yake hakufai hata kidogo hilo ni tatizo kubwa sana.Unapomsaliti mapenzi lets say mume au mke akashuhudia na akasamehe nadhani huwa ni muda mzuri wa kutafakari,kutubu na kuujenga upya uhusino wenu kiimani lkn kama mtu anarudia yale yale hiyo ni sumu kali sana kwako kimbia mapema.
Nimekupata mkuu vizuri kabisa
 
Ngoja namm nisamehe tuuu basi hakuna namna Tena sjui nmpende zaidi ili aondoe Ile hulka yake ya kuzoea kusaliti
kwani una ushahidi tosha au unahisi tu? fuatilia background ya huyo anaetoka nae, labda walitengana sababu ya umbali tu na hivi sasa ndio karejea
 
kwani una ushahidi tosha au unahisi tu? fuatilia background ya huyo anaetoka nae, labda walitengana sababu ya umbali tu na hivi sasa ndio karejea
Wameanza Sasa hv miez miwil hv Sasa...na yy kanthbshia huyo jamaa
 
Mimi nahisi kama vile jamaa ameniendea kwa sangoma
 
Kama umeingia kwenye mahusiano naye sababu ni mzuri,hata ukimfumania utamsamehe sababu uzuri wake bado upo.

Kama umeingia kwenye mahusiano sababu ni msomi ,hata ukimfumania utamsamehe sababu vyeti vyake bado vipo.

Kama umeingia kwenye mahusiano sababu anapesa hata ukimfumania utamsamehe sababu pesa bado zipo.

Kama umeingia kwenye mahusiano sababu mpo dini moja utamsamehe sababu bado mpo dini moja.

Kama umeingia kwenye mahusiano unatafuta wa kuishi naye hata ukimfumania utamsamehe sababu unachotaka ni MTU wa kuishi naye.

KAMA umeingia kwenye mahusiano unaamisi sio msaliti ,hutoweza kuendelea naye sababu ni msaliti.Na wewe hukuwa unatafuta msaliti.
he/she is not your choice
Daaaah
Nimeipenda hii comment kupita maelezo,
Naona imebeba majibu ya maswali mengi sana aiseeh.
 
Nimekupata vizuri sana mkuu ushaur mzur saana kiukwel bado nampenda saana na yeye anaheshima saana hajawahi nionesha Ile dharau yaani Sasa sijajua huwa anapatwa nanini Paka anaamua kunisaliti

Kibaya zaidi Hua ananisaliti ambapo Hua hata hatupo katika conflict na waala nakua sijamkwaza

Inshort npo mkwel kwake 100% sijawahi mcheat muda wote na tuna five years

NB... Nampenda ila kila nkimuona na nkiifkilia yalotokea naumia sana
Acha uboya wewe utaendelea kuchapiwa wewe
 
je amekubali kuachana nae au? maana ukweli wa nan anaempenda zaidi upo kwa mwanamke
Kakubal kuacha kabsa na yuko Tyr kurud home maana kuna mahal alkua kaenda kwhyo kakubal kurud nyumban
 
kama ni kosa la kwanza nakushauri msamehe, ila ongea pia na huyo mtu wake mustakabali alio nao kwa mtu wako
Huyo jamaa kasema anaacha maana hata yy alkua hajui nae kachukia maana kadanganywa maana mwnamke alinambia Hana mtu kumbe anaye
 
Nobody is perfect kwa hio kulingana usaliti wenyewe kila binadamu anastahili nafasi ya pili...
kusamehe hua ni rahisi ila sasa kusahau ndio shinda...kama haupo tayari kusahau basi hta kusamehe utateseka sana mkuu...
lakini aliekutenda lazima awe tayari kuweka wazi yote na akili kutorudia hua usaliti..
baada ya kusamehe sleep wt one open mpaka uone mwenzio amebadilika kabisaa
 
Mwanaume anaweza kumwacha mke kwasababu amemfumania, lakini cha ajabu mwanaume huyohuyo anaenda kuoa mke alieachwa kwa kosa la kufumaniwa...
 
Nobody is perfect kwa hio kulingana usaliti wenyewe kila binadamu anastahili nafasi ya pili...
kusamehe hua ni rahisi ila sasa kusahau ndio shinda...kama haupo tayari kusahau basi hta kusamehe utateseka sana mkuu...
lakini aliekutenda lazima awe tayari kuweka wazi yote na akili kutorudia hua usaliti..
baada ya kusamehe sleep wt one open mpaka uone mwenzio amebadilika kabisaa
yote sawa lakini kama kunahaja ya kusamehe hautakiwi kukumbuka yalio pita
 
Back
Top Bottom