Optimistic_
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 2,347
- 1,858
- Thread starter
- #81
Nimekupata vizuri sana mkuu ushaur mzur saana kiukwel bado nampenda saana na yeye anaheshima saana hajawahi nionesha Ile dharau yaani Sasa sijajua huwa anapatwa nanini Paka anaamua kunisalitiSasa mkuu kadi za benki za kwake ulizonazo na umiliki wa mapato yake ndio sababu inayokusumbua na kushindwa kutoa maamuzi au ni moyo wako na nafsi kutokana na kosa alilolitenda.Inaonekana upo interested na material things kuliko mapenzi na amani ndani ya ndoa yako. Inawezekana hii ikawa ni sababu kubwa ya mke wako kuchepuka,anakosa attention kutoka kwako. Sema na moyo wako kuhusu kumsamehe,je bado unampenda? Na mapenzi hayo uliyonayo kwake yataendelea kuwepo baada ya kumsamehe? Kama jibu ni ndio msamehe,kama ni hapana basi mwache aende kuepusha migogoro itakayotokea baada ya hili kujitokeza kati yenu. Acha kuwaza umiliki wa material things kwenye swala linalohusu hisia.
Kibaya zaidi Hua ananisaliti ambapo Hua hata hatupo katika conflict na waala nakua sijamkwaza
Inshort npo mkwel kwake 100% sijawahi mcheat muda wote na tuna five years
NB... Nampenda ila kila nkimuona na nkiifkilia yalotokea naumia sana