Kumsamehe aliye kusaliti

Kumsamehe aliye kusaliti

Sasa unafanyaje mkuu kama mtu unampenda saana na mmewekeza vtu vng sana nae
Unampiga chini unatafuta mwanamke mwingine ....its very simple,unaweza ukamkabidhi Mali zako mtu mwingine kwa kumdanganya kwamba umeuza then ukimfukuza unachukua tena mali zako
 
Habarini wana JF,

Hivi watu mlioko kwenye mahusiano ikitokea kakusaliti utamsamehe au utafanyaje? Na Je kuna watu ambao washawahi salitiwa na wakasamehe especially kama walikuwa wanawapenda sana wake zao?

Naombeni majibu wakuu
Msamaha unafaa kwa mtu anayetambua maana ya msamaha
 
Kuvumilia haikusaidii hivyo mlivyo wekeza anatumia mwenzio
Mfano huyu mwnamke kadi za benk zake Zote kanpa mm yaan hata hela yake hajawah toa yy bank kila mwsho wa mwez natoa mm na Nina mjali kwa vyooooote ila ndo hvo sjui nn tatzo na Hua anaanza kulia akikutwa na kosa
 
Mfano huyu mwnamke kadi za benk zake Zote kanpa mm yaan hata hela yake hajawah toa yy bank kila mwsho wa mwez natoa mm na Nina mjali kwa vyooooote ila ndo hvo sjui nn tatzo na Hua anaanza kulia akikutwa na kosa
Kifupi penzi haligawanyiki lazima lizidi upande
 
Nilikuwa nikisamehe kipindi cha nyuma. Based on my experience ukimsamehe msaliti,lazima arudie tena,only this time kwa kujificha.

My rule ni kwamba aki cheat, game over.haijalishi tunafunga ndoa kesho.
 
Habarini wana JF,

Hivi watu mlioko kwenye mahusiano ikitokea kakusaliti utamsamehe au utafanyaje? Na Je kuna watu ambao washawahi salitiwa na wakasamehe especially kama walikuwa wanawapenda sana wake zao?

Naombeni majibu wakuu
Dah kumsamehe aliyekusaliti mm kiukweli siwezi msamehe maana waswahili wanakwambia kumpa mtu nafasi ya pili ni sawa na kumpa ruhusa akuumize zaidi ila inategemea na mazingira ya usaliti
 
Nilikuwa nikisamehe kipindi cha nyuma. Based on my experience ukimsamehe msaliti,lazima arudie tena,only this time kwa kujificha.

My rule ni kwamba aki cheat, game over.haijalishi tunafunga ndoa kesho.
True
 
Dah kumsamehe aliyekusaliti mm kiukweli siwezi msamehe maana waswahili wanakwambia kumpa mtu nafasi ya pili ni sawa na kumpa ruhusa akuumize zaidi ila inategemea na mazingira ya usaliti
Mazngra mara ya kwanza tulvokua pamoja na mara ya pili tulkua distance kidogo kwa muda wa miez mitatu
 
Aiseeee Bro yangu moja ,, miaka ya nyuma kidogo , akitoka safari alimkuta mkewe na njemba kitandan.

Mbona aliishia kupiga mbwa risasi tu mbali na hasira na akamsamehe Demu wake ,mpaka Leo wako pamoja ..

Sema hili lishemu langu,
mwanangu ukiliona dooohhh ,lazima usisimuke mweeeee limejaaa balaaa ,paja pajaa sura sura ,jeupeeeeeeeeeeeee .

Kwa ufupi jibu LA swali lako linategemea mwenye Mali .
 
Mfano huyu mwnamke kadi za benk zake Zote kanpa mm yaan hata hela yake hajawah toa yy bank kila mwsho wa mwez natoa mm na Nina mjali kwa vyooooote ila ndo hvo sjui nn tatzo na Hua anaanza kulia akikutwa na kosa
Kumbe umesalitiwa,, OK ni hivi mwanaume anaposaliti mara nyingi huwa kasaliti kwa tamaa tu ila mwanamke anaposaliti mara nyingi husaliti kwa mapenzi yaani kamkubali aliyekusaliti nae kuliko wewe.. Ila dawa na adhabu tosha nikusamehe tu na kukaa kimya tena unaongeza kumjali ila usiongelee kilichotokea wengine hujiongeza na kusepa wenyewe kwakuhofia kunakitu kibaya unaplan
 
Aiseeee Bro yangu moja ,, miaka ya nyuma kidogo , akitoka safari alimkuta mkewe na njemba kitandan.

Mbona aliishia kupiga mbwa risasi tu mbali na hasira na akamsamehe Demu wake ,mpaka Leo wako pamoja ..

Sema hili lishemu langu,
mwanangu ukiliona dooohhh ,lazima usisimuke mweeeee limejaaa balaaa ,paja pajaa sura sura ,jeupeeeeeeeeeeeee .

Kwa ufupi jibu LA swali lako linategemea mwenye Mali .
Hiyo njemba ilipona kweli?
 
Back
Top Bottom