Optimistic_
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 2,347
- 1,858
- Thread starter
- #61
Sasa mkuu ukikaa kimya kwamba unakua humsemeshi au???Kumbe umesalitiwa,, OK ni hivi mwanaume anaposaliti mara nyingi huwa kasaliti kwa tamaa tu ila mwanamke anaposaliti mara nyingi husaliti kwa mapenzi yaani kamkubali aliyekusaliti nae kuliko wewe.. Ila dawa na adhabu tosha nikusamehe tu na kukaa kimya tena unaongeza kumjali ila usiongelee kilichotokea wengine hujiongeza na kusepa wenyewe kwakuhofia kunakitu kibaya unaplan
Maana kama mnaishi pamoja mtaishije kama mabubu mkuu??
Sasa mkuu kingne kama kamkubali zaidi hadi kakubali kusaliti kwanini asiseme mimi skutaki ili aende tu kwa jamaa aliyempenda ili wawe huru kabisa