Maxence na wenzako mnafanya kazi takatifu kwelikweli. Mbarikiwe sana. Tumeamka asubuhi JF ikawa haipo tukajihisi kupungukiwa sana. Poleni na ahsanteni sana. Kama hakuna mkono wa mtu tutashinda tu.
Maxence na wenzako mnafanya kazi takatifu kwelikweli. Mbarikiwe sana. Tumeamka asubuhi JF ikawa haipo tukajihisi kupungukiwa sana. Poleni na ahsanteni sana. Kama hakuna mkono wa mtu tutashinda tu.
Limit of (x³-7x²) as X approaches to what? Hiyo expression bado kukamilika, huwezi tu kujiwekea "equals to infinity" bila kueleza X ilikuwa inaaproach to what. Fanya revision, otherwise utaishia kuwadanganya wasiojua eg First Lady.
limx→∞ (x³-7x²) = ∞;612094 said:Si umeona nimezishusha kwa uchache. Nilizipata kwenye feeds za JF, muda mwingi nipo site mkuu. Wahandisi kuwa online ni nadra kamanda wangu.
Mambo ya teknolojia ni ∞ maana anytime anything can happen na unaweza kukosa hata kujinasua. Waulize Demonoid.com website kubwa kabisa, wao walipoteza database ya kila kitu hata majina ya waliojisajili na pwd zao. Kurudisha hata hivi jamaa nimewakubali ni wakali.
Karibu katika ulimwengu wa Maths
And am one of the moderators on Demonoid (FYI)Mkuu wale jamaa si wa kawaida aisee
Msaada waheshimiwa!
How many Tanzanians are in the UK? where can I access this statistics!
Asante Sana.
Gabu
Gabu has been infected with swine flu
Senior Member
Join Date: Thu Mar 2009
Posts: 117
Thanks: 16
Thanked 49 Times in 24 Posts
Rep Power: 21
Re: Kumradhi wakuu!
gabu profile yako inatisha una swine flu ?? teh teh teh
limx→∞ (x³-7x²) = ∞;612128 said:Niite lim (x³-7x²) = ∞ au hata ukiniita ∞ inatosha tu.
Be my guest
Mkuu Abdulhalim,Mi nilidhani Chelsea imefungwa...duh mimi sio mtaaluma wa IT lakini inakuwaje tu-30GB tunawachemsha aisee? Is JF some kind of a joke?
And am one of the moderators on Demonoid (FYI)