Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,499
Ningejua Farida yuko tight kihivyo walau ningekuwa naPM kimtindo!
Hehehehe thubutu hata kucomment yeye mzito sembuse PM yeye ukibip anapiga jaribu uone kama hujaonekana mwezi mzima hapa.
Ningejua Farida yuko tight kihivyo walau ningekuwa naPM kimtindo!
Hehehehe thubutu hata kucomment yeye mzito sembuse PM yeye ukibip anapiga jaribu uone kama hujaonekana mwezi mzima hapa.
Ni sawa na kumbeep Kamanda Suleiman Kova?
Thanks mkuu!
Kuwa makini na hii JF unahatarisha ndoa yako!
ha ha aha ha ha, kwa hiyo unamshauri MKULU kwenye friji yake asikose
1. TIKITI MAJI KUBWAAAA!
PIA ATUMIE
2. SUPU YA PWEZA NA NYAMAZAKE KILA MARA/ X 4 KWA SIKU.
3. SUPU YA KONGORO/ULIMI WA NG'OMBE KOROSHO MBICHI
4. MAZIWA FRESH KWA AJILI YA MACHO NA PROTIN
Ubarikiwe sana Nguli, usikose kuja kwenye mkesha!
lim (x³-7x²) = ∞;612094 said:Si umeona nimezishusha kwa uchache. Nilizipata kwenye feeds za JF, muda mwingi nipo site mkuu. Wahandisi kuwa online ni nadra kamanda wangu.
Mambo ya teknolojia ni ∞ maana anytime anything can happen na unaweza kukosa hata kujinasua. Waulize Demonoid.com website kubwa kabisa, wao walipoteza database ya kila kitu hata majina ya waliojisajili na pwd zao. Kurudisha hata hivi jamaa nimewakubali ni wakali.
Karibu katika ulimwengu wa Maths 🙂
Bila shaka mashamu askoofu,
ila Mkulu anajitolea sana is rly dedicated to serve this nation, na ndio maana amenenepa kama mr Mandinda wa Twanga Pepeta.
Niite limx→∞ (x³-7x²) = ∞ au hata ukiniita ∞ inatosha tu.thanks Lim jina lako gumu thanks nitakaribia kujifunza
thanks Lim jina lako gumu thanks nitakaribia kujifunza
lim (x³-7x²) = ∞;612128 said:Be my guest 😛
Tumenunua hard disk nyingine (1TB hivyo kuwa na mbili za ukubwa huo) ambayo itakuwa na back up ya pili. Hili ni suala ambalo limetokana na database kuwa kubwa (30GB) na errors kutokea wakati tunafanya backup.Je mmejiandaaje ili next time tatizo kama hili lisitokeee?
Tumenunua hard disk nyingine (1TB hivyo kuwa na mbili za ukubwa huo) ambayo itakuwa na back up ya pili. Hili ni suala ambalo limetokana na database kuwa kubwa (30GB) na errors kutokea wakati tunafanya backup.
Kuna uwezekano mkubwa hoja zilizopotea kurejea, sijui kama tutaweza kuzirejesha zote lakini tutajitahidi.
Nadhani wengine kwa sasa mkipata PM mnapata na email notifications. Hilo pia tumerekebisha.
Am out
Tumenunua hard disk nyingine (1TB hivyo kuwa na mbili za ukubwa huo) ambayo itakuwa na back up ya pili. Hili ni suala ambalo limetokana na database kuwa kubwa (30GB) na errors kutokea wakati tunafanya backup.
Kuna uwezekano mkubwa hoja zilizopotea kurejea, sijui kama tutaweza kuzirejesha zote lakini tutajitahidi.
Nadhani wengine kwa sasa mkipata PM mnapata na email notifications. Hilo pia tumerekebisha.
Am out
Hapana mkuu si addiction, ni wajibu wangu kwako na kwa wenzangu. Ukishaamua kuyavulia nguo, huna budi kuyaoga.Wee Kiboko, ama ni addictions hizi na JF ? yamekuwa masaa 30 hujalala....mhhhhh pole sana!
limx→∞ (x³-7x²) = ∞;612128 said:Niite limx→∞ (x³-7x²) = ∞ au hata ukiniita ∞ inatosha tu.
Be my guest 😛
mmmmmm jamani kuna watu wakorofi humu sijapataona
Hapana mkuu si addiction, ni wajibu wangu kwako na kwa wenzangu. Ukishaamua kuyavulia nguo, huna budi kuyaoga.
Kuna wenzetu tulokuwa tunashirikiana nao US kwa utofauti wa masaa wao wanaona muda bado unaruhusu, hivyo wamenishikilia kwa muda.
Nipo kama sipo