Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
katika Thread ya CHADEMA kuchuka Kilombero, nimemtumkana Bado niponipo. Naomba Uniwie Radhi maana nilihamanika kwa Sababu toka jana kuna Members ambao kazi yao ni kuleta habari ambazo hata wenyewe wanajua ni za Uongo kitu ambacho kinaweza kupelekea kushusha hadhi ya Jamvi letu
Nachukua nafasi hii, mbele ya Hadhira hii Kumuomba radhi member bado nipo nipo na wengi wote niliowakwaza
Asante
Nachukua nafasi hii, mbele ya Hadhira hii Kumuomba radhi member bado nipo nipo na wengi wote niliowakwaza
Asante