elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,747
Naelewa kupenda aisee ni sawa kuwa addicted na dawa za kulevya yani ngumu kumuacha unayempenda hata kama ukweli unaujuaUkiona mpaka nimeandika hapa maana yake nimeshafanya kila jitihada
Naelewa kupenda aisee ni sawa kuwa addicted na dawa za kulevya yani ngumu kumuacha unayempenda hata kama ukweli unaujuaUkiona mpaka nimeandika hapa maana yake nimeshafanya kila jitihada
Kumbe sio mume wa ndoa....Hapana ila nilidhani tutafikia huko
Hata masister nao wanachangamoto zao, mapadri wanawasumbua wengine wanatamani kuwa na familia basi vurugu tupu kilichobaki nikumuomba Mungu tuMahusiano ya siku hz sijui yakoje, uaminifu ni zero kbs. Dah heri hata ningesomea wito wa usista.
Ndio jambo la msingi hilo.Hata masister nao wanachangamoto zao, mapadri wanawasumbua wengine wanatamani kuwa na familia basi vurugu tupu kilichobaki nikumuomba Mungu tu
True mkuu but inadepend mkuu inawezekana hyu bint ndo anauanza ulimwengu huu xo ameingia mzimamzima DAT y anakula za chembe[emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]Leave him
Love doesn't hurt, hope + expectations do. Hiyo kujipa moyo kuwa sijui atapiga muyaongee etc. Au hoping and expecting kuwa atachange na finally atarudi to his senses na kuanza kukuonyesha upendo uutakao. You are just setting yourself up for a very painful heartbreak huko mbeleni.
Nsamaka nikuulize?Mmmh no way out, mm ni mkirsto hai kbs. Nimeamua kuwa mpole tu ili maisha yaendelee.
Uliza tuNsamaka nikuulize?
Ndivyo mnavyotiana moyoHata masister nao wanachangamoto zao, mapadri wanawasumbua wengine wanatamani kuwa na familia basi vurugu tupu kilichobaki nikumuomba Mungu tu
Hiyo ni kweli mkuu! Kwahiyo nawewe unatamani kuwa mwanamke?Hii thread angekuwa ameanzisha mwanaume isingefika hata page 2 ila kwa ke itsfika hata page 10
Upo mwanamke? Za siku?kumbe unajua unajitakia eh! kwakweli tumeumbwa tofauti sana!mm sikupi pole!
Kweli kabsa wewe ni bwegeHata Mimi najiona bwege sana