hebrews
Senior Member
- Mar 11, 2017
- 168
- 258
Huyu hastaili polePole mwaya.....
Huyu hastaili polePole mwaya.....
Asistahili pole kwaniniHuyu hastaili pole
Amejitakia mwenyeweAsistahili pole kwanini
Amejitakia kujiumiza? Msiwe na mioyo migumu kwakua tu sio weweAmejitakia mwenyewe
Amejitakia ndiyo,kama ame muona live na bado anashindwa kumove on tusemeje sasa?Amejitakia kujiumiza? Msiwe na mioyo migumu kwakua tu sio wewe
Hujawahi kupenda weyeAmejitakia ndiyo,kama ame muona live na bado anashindwa kumove on tusemeje sasa?
Nataka nianzie kwakoHujawahi kupenda weye
Mie ntakuvuruga vuruga tuNataka nianzie kwako
Hahahah........ili nami niwe napata comments nyingi mkuu auHiyo ni kweli mkuu! Kwahiyo nawewe unatamani kuwa mwanamke?
Tatizo wewe unajisumbua kumpenda wakati sio jukumu lako, sisi wanaume hatujuagi mambo hayo, sisi la muhimu kwetu sio kupendwa na wanawake bali mwanamke "kutii" tu, ukishamuonesha UTIIFU turn yake kwako ni kukupenda.Yaani haya mapenzi ni ya ajabu sana, kuna mtu nampenda sana ..kwakuwa anajua nampenda basi ndiyo ananinyanyasa kweli..
Nimekuwa mtu wa kulia tu...
Jana nimemkuta na msichana mwngine tena nahisi atakuwa bado mwanafunzi nikajifanya sijaona nikageuza haraka na kurudi home, nikijua atarudi home tuyaongee lkn mpaka hivi ninavyoandika hajarudi tangu tuonane ile Jana.
Nikipiga simu haipokelewi..nateseka sana jamani....msaada please ila mapenzi yanaumiza sana..
Huyo kwa Avatar ni wewe?Yaani haya mapenzi ni ya ajabu sana, kuna mtu nampenda sana ..kwakuwa anajua nampenda basi ndiyo ananinyanyasa kweli..
Nimekuwa mtu wa kulia tu...
Jana nimemkuta na msichana mwngine tena nahisi atakuwa bado mwanafunzi nikajifanya sijaona nikageuza haraka na kurudi home, nikijua atarudi home tuyaongee lkn mpaka hivi ninavyoandika hajarudi tangu tuonane ile Jana.
Nikipiga simu haipokelewi..nateseka sana jamani....msaada please ila mapenzi yanaumiza sana..
Jaribu kunipenda mimi, najua hutajuta! Mwanamke una Masters yako na kazi so hupaswi kulia kwa sababu ya mwanaume mmoja! Mungu kawaumba wengi tena wa maumbo tofauti tofauti, ukizinguliwa na mmoja mkubalie mwingine.
Penda unapopendeka na upendo ukiisha penda kwingine!
Sawasawa mkuu!Nimeipenda hii sentensi yako ya mwisho [emoji23]