Kumpenda mtu asiyekupenda inatesa sana!

Kumpenda mtu asiyekupenda inatesa sana!

Yaani haya mapenzi ni ya ajabu sana, kuna mtu nampenda sana ..kwakuwa anajua nampenda basi ndiyo ananinyanyasa kweli..

Nimekuwa mtu wa kulia tu...

Jana nimemkuta na msichana mwngine tena nahisi atakuwa bado mwanafunzi nikajifanya sijaona nikageuza haraka na kurudi home, nikijua atarudi home tuyaongee lkn mpaka hivi ninavyoandika hajarudi tangu tuonane ile Jana.

Nikipiga simu haipokelewi..nateseka sana jamani....msaada please ila mapenzi yanaumiza sana..
Pole sana leah
 
Aisee watu mnavyoshauri waachane daaaah...ila ndo shida ya kizazi cha leo hayo maswala bada ya kukaa na mwenzio mzungumze unakimbilia kwenye social media...mi nafikiri mngeulizana wawili na akwambie nini ambacho kimepungua kwako anakifata kwa huyo mwengine....inawezekana unampenda lakini kuna vitu unakosea...humu washauri tupo wengi utajazwa upepo mwisho wa siku utachukua maamuzi ambayo yatagharimu mahusiano yako..so ni vyema kuwa smart katika hili.Zaidi sana pole kwa yote yaliyokukuta mwombe Mungu kwa imani yako na zungumza na mwenzio kupata ufumbuzi wa hilo
 
Pole sana. Next time uwe unaweka mguu mmoja ndani mwingine nje halafu soma mazingira kwanza ili kujiepusha na maumivu.
 
Aisee watu mnavyoshauri waachane daaaah...ila ndo shida ya kizazi cha leo hayo maswala bada ya kukaa na mwenzio mzungumze unakimbilia kwenye social media...mi nafikiri mngeulizana wawili na akwambie nini ambacho kimepungua kwako anakifata kwa huyo mwengine....inawezekana unampenda lakini kuna vitu unakosea...humu washauri tupo wengi utajazwa upepo mwisho wa siku utachukua maamuzi ambayo yatagharimu mahusiano yako..so ni vyema kuwa smart katika hili.Zaidi sana pole kwa yote yaliyokukuta mwombe Mungu kwa imani yako na zungumza na mwenzio kupata ufumbuzi wa hilo
Ni rahisi kusema hivyo kwa sababu hayaja kukuta nimetoa mfano mmoja tu lkn kuna mengi nimeyavumilia
 
Tena makubwa zaidi yako lkn mm nimeamua kujiweka kando kimya kimya. Tunaongea ila ndio hajui moyoni nawaza nn.
Funguka na Uzi kabisa tuone nani mwenye makosa mana binadamu hatuna asili yakukubali kwamba sisi ndo aakosaji hali wao ndo wakosaji
 
Aisee kweli mapenzi yanatesa sana kama mimi ninavyompenda huyu mrembo ila hana mpango na,mimi Me too
 
Funguka na Uzi kabisa tuone nani mwenye makosa mana binadamu hatuna asili yakukubali kwamba sisi ndo aakosaji hali wao ndo wakosaji
Hahah uzi tena hapana, ila kuna mtu nimekuwa nae kwa muda kumbe alishaweka commitment kwingine na hajaniambia. Nasikia tu watu.
 
Back
Top Bottom