Kumpenda mtu asiyekujua

Moyo wako Una kiherehere[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
duh...:-:-!:-!:-!:-! hadi chupi inaloa???hiyo kweli kali sana . ..na bahasha ako analijua hilo
?????
 
Sio Kosa lako. Jamaa anaharibu nchi, jamaa anaharibu akili za vijana, Jamaa anaharibu kweli, wanasema hashauriki, anakurupuka kama kakurupushwa!
 
Yaani kuna watu kweli mna ashki, sasa mtu humjui kweli anakulowesha!!,hii ni changamoto
 
Uko sahihi sana .endelea kumpenda mpaka milele huyo hatakuja kukuumiza hata siku moja,si wew tu ko pamojaaa
 
Uko sahihi sana .endelea kumpenda mpaka milele huyo hatakuja kukuumiza hata siku moja,si wew tu ko pamojaaa
 
Fantasy za wasichana bana..Kuna mmoja Paul walker alivyofakiri eti kakanipigia simu kunipa taarifa huku akilia..Nikaamua nimblock tu
////alifyofakiri....alivyofariki au sio mkuu
 
It is called infatuation, and I think after sometime it will fade away. Ni utoto pia hasa ukizingatia kuwa hujawahi kuwa na mahusiano serious ya muda mfano 4 to 8 years tangu ukue ama kuona ukitendwa na umpendaye. Yaani nahisi pia umekuwa unapendwa tuu, everything is fine fine na kwamba you are still in school right?! So, don't worry gal hayo ni ya kawaida especially if you really know your biology.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…