Kumpenda mtu asiyekujua

Kumpenda mtu asiyekujua

Bila shaka wewe utakuwa ni Giggy Money... kama sivyo bas ni ndugu yake wa karibu sana... cha kukushauri ni kuwa chupi ikishalowa kabadilishe uvae nyingine... pili haina haja ya kuwa na mwanamme coz ukimuona van Vicker tu unafika orgasm... How lucky you are!!
Kwa nini usimwambie avae pedi mkuu ni kavu na sijui nini na nini.....kama kwenye tangazo
 
endelea kumpenda uwez jua labda mungu kapanga ndo awe mume wako
mda ukifka utakutana nae na mtaona ila kama si wako utaendelea kuchafuka tuu yy uko akiwa anakula wengne
ahaha muda ukifika! naweza nikasubiri huo mda mpaka kifo halaf ikawa olaa
 
Back
Top Bottom