happymsafi
Senior Member
- Jul 4, 2016
- 100
- 84
- Thread starter
- #61
applications si bora niendelee kutengeneza imaginations zanguKuna Applications za kwenye simu na kompyuta zinaweza kukutengenezea picha au video ukiwa pamoja nae
applications si bora niendelee kutengeneza imaginations zanguKuna Applications za kwenye simu na kompyuta zinaweza kukutengenezea picha au video ukiwa pamoja nae
Am I not me? Very sory for thatJamani mwenzenu kuna huyu kaka ni mwigizaji wa nchi za wenzetu huko naomba nisimtaje nimetokea kumpenda kiasi nikimuona tu anaigiza, picha zake chupi inakua inalowa bila kukusudia nampenda nikisikia kimempata kitu kibaya naweza nisile siku nzima namuwaza yeye tu.
Yani nimekuwa nikisali namuombea kila siku yamkute mazuri na apate mafanikio makubwa kuliko navojiombea mwenyewe. Nikiona watu wanamsema vibaya najisikia vibaya mood yangu inaharibka siku nzima. Tatizo nampenda mtu ambae hajui kama kuna mtu kama mimi naexist.
Jana nimeingia Instagram account yake nimekuta watu wanamsema vibaya usiku mzima sijalala naota maruweruwe namuwaza yeye. Sijawahi kupenda kama hivi sidhani kama itakuja kutokea katika maisha yangu kumpenda mtu kama hivi.
Sijui kimentokea nini, sikuwahi kuwa fan wa mtu fulani kiasi cha kumpenda kiasi hiki ndo mara yangu ya kwanza kuwa fan wa mtu na kumpenda. Kumuombea mazuri tu yampate kuliko navojifikiria mwenyewe. Hivi hii ni kawaida kweli au inawezekana nina ugonjwa wa saikolojia?
Hili somo gumu kidogo ila mathematicallyunaeza ukaelezea ndo inakuaje hiyo?
unaeza ukaelezea ndo inakuaje hiyo?
Eh!van vicker? Haaaa hawezi kumzidi john dumelo yule kaka ni balaa chezea mwanaume mweusi wewe! Van vicker cha mtoto!
Kujiongeza vipi tena zaidi ya kumblockUlishindwa kujiongeza???
Do u have a crush on someone?why do we call it a
CRUSH ?
Because that's how you feel
when they dont feel the same way in
RETURN....
happymsafi Mimi nimekupenda tuu sijakuna Wala sikujui ila dah kila ukikoment yaan ........applications si bora niendelee kutengeneza imaginations zangu
yes ila sio kihisia yani kiviiiileDo u have a crush on someone?
van vicker? Haaaa hawezi kumzidi john dumelo yule kaka ni balaa chezea mwanaume mweusi wewe! Van vicker cha mtoto!
Fantasy za wasichana bana..Kuna mmoja Paul walker alivyofakiri eti kakanipigia simu kunipa taarifa huku akilia..Nikaamua nimblock tu
tuko wengi wewe kutamani ni lazima mfano mm ni msafi kupitiliza unakuta unakutana na jitu linavaa nguo mara mbili halijui kupanga nguo unalinunulia nguo wap zivu kama kichaka loh leo nikutane na msafi mwenzangu kwa nn mate yasinitoke!?kumbe kawaida sipo peke yangu. angalau nimefarijika
Na we unazo hizo??Ahahahahhahhahhaahh
Na we unazo hizo??