Kumpenda mtu asiyekujua

Kumpenda mtu asiyekujua

why do we call it a
CRUSH ?
Because that's how you feel
when they dont feel the same way in
RETURN....
yeah gal...kama mimi hapa kuna username ya mdada nikiiona tu yaani ...mkonga huoooo
 
Yaan we acha tu, uko kama mimi ninavompenda AMADOGO!!! lakini yeye walaaa!! Hana habari na wewe.
mwenyewe kukujua hakujui. mie nimeplan nicomment kila post katika account yake istagram labda siku moja ataniona lol
 
tuko wengi wewe kutamani ni lazima mfano mm ni msafi kupitiliza unakuta unakutana na jitu linavaa nguo mara mbili halijui kupanga nguo unalinunulia nguo wap zivu kama kichaka loh leo nikutane na msafi mwenzangu kwa nn mate yasinitoke!?
safi sana kila mtu ana ugonjwa wake 🙂 🙂
 
Hmm...yaani umejiunga jana tu halafu leo unakuja na thread kama hii?

Na huo mwandiko wako huo....you sound too familiar!

Anywho...happy Monday happymsafi.....
huyo multiple ID ndo maana unaona hivyo wewe ona mwandiko wake tu unaeleweka kuwa ni mzoefu
 
wewe bado teenager

ushauri; kanunue dildo itakusaidia pale utakapokuwa umelowa!.....
 
endelea kumpenda uwez jua labda mungu kapanga ndo awe mume wako
mda ukifka utakutana nae na mtaona ila kama si wako utaendelea kuchafuka tuu yy uko akiwa anakula wengne
 
Back
Top Bottom