Kumpenda mtu asiyekujua

Kumpenda mtu asiyekujua

Pole zako sijui kupenda ni nini maana unapenda mtu hata hakufahamu
 
hahahah kha!!!!!! Hujasex nae kifikra kweli? duh!!!!!!!!!! hi ndo dunia.
 
Bila shaka wewe utakuwa ni Giggy Money... kama sivyo bas ni ndugu yake wa karibu sana... cha kukushauri ni kuwa chupi ikishalowa kabadilishe uvae nyingine... pili haina haja ya kuwa na mwanamme coz ukimuona van Vicker tu unafika orgasm... How lucky you are!!
#Vicker wakawaida sana mbona,,,,,, labda #dumelo na natural colour yake.
 
Jamani mwenzenu kuna huyu kaka ni mwigizaji wa nchi za wenzetu huko naomba nisimtaje nimetokea kumpenda kiasi nikimuona tu anaigiza, picha zake chupi inakua inalowa bila kukusudia nampenda nikisikia kimempata kitu kibaya naweza nisile siku nzima namuwaza yeye tu.

Yani nimekuwa nikisali namuombea kila siku yamkute mazuri na apate mafanikio makubwa kuliko navojiombea mwenyewe. Nikiona watu wanamsema vibaya najisikia vibaya mood yangu inaharibka siku nzima. Tatizo nampenda mtu ambae hajui kama kuna mtu kama mimi naexist.

Jana nimeingia Instagram account yake nimekuta watu wanamsema vibaya usiku mzima sijalala naota maruweruwe namuwaza yeye. Sijawahi kupenda kama hivi sidhani kama itakuja kutokea katika maisha yangu kumpenda mtu kama hivi.

Sijui kimentokea nini, sikuwahi kuwa fan wa mtu fulani kiasi cha kumpenda kiasi hiki ndo mara yangu ya kwanza kuwa fan wa mtu na kumpenda. Kumuombea mazuri tu yampate kuliko navojifikiria mwenyewe. Hivi hii ni kawaida kweli au inawezekana nina ugonjwa wa saikolojia?
Mpendwa mtaje jina then wanajf tutaanzisha hashtag kukusaidia..Ukutane nae japo akupe one night stand teh
 
Jamani mwenzenu kuna huyu kaka ni mwigizaji wa nchi za wenzetu huko naomba nisimtaje nimetokea kumpenda kiasi nikimuona tu anaigiza, picha zake chupi inakua inalowa bila kukusudia nampenda nikisikia kimempata kitu kibaya naweza nisile siku nzima namuwaza yeye tu.

Yani nimekuwa nikisali namuombea kila siku yamkute mazuri na apate mafanikio makubwa kuliko navojiombea mwenyewe. Nikiona watu wanamsema vibaya najisikia vibaya mood yangu inaharibka siku nzima. Tatizo nampenda mtu ambae hajui kama kuna mtu kama mimi naexist.

Jana nimeingia Instagram account yake nimekuta watu wanamsema vibaya usiku mzima sijalala naota maruweruwe namuwaza yeye. Sijawahi kupenda kama hivi sidhani kama itakuja kutokea katika maisha yangu kumpenda mtu kama hivi.

Sijui kimentokea nini, sikuwahi kuwa fan wa mtu fulani kiasi cha kumpenda kiasi hiki ndo mara yangu ya kwanza kuwa fan wa mtu na kumpenda. Kumuombea mazuri tu yampate kuliko navojifikiria mwenyewe. Hivi hii ni kawaida kweli au inawezekana nina ugonjwa wa saikolojia?
Happy kwa iyo uwa unakojoa kabisa
 
Kutamani kupo na ni kitu normal na kila mtu ana ugonjwa wakle mfano mm nikikutana na mwanaume msafiiiiii yaan msafii aswaaaa yaani nitakodoa mimacho mpaka atakapoondoka haijalishi ni nani yaan napataka picha nyingi kichwani mia kidogo! So iyo ya kwako haina shida its normal! Ilinitokeaga 2002,2006 nilimpendaga ronaldinho gaucho haijawai tokea si kwa ajiri ya mapenzi ila kiwango chake cha uchezaji mpira! Kila gazeti lenye picha yake nilinunua. Na yale meno yake ila nilimpendaga tu sina sababu! Kombe la dunia lote nilikuwa nafatilia lika match kwa sababu yake! Juzi tu kombe la dunia kocha wa brazil hakumuita kwenye kikosi niliumia na siku ile walivyopigwa magori 8 nililia nikawaza angekuwepo gaucho hali iyo isingetokea! Nampenda huyu kaka akiwa uwanjani sionagi mchezaji yeyote zaidi yake!
 
Jamani mwenzenu kuna huyu kaka ni mwigizaji wa nchi za wenzetu huko naomba nisimtaje nimetokea kumpenda kiasi nikimuona tu anaigiza, picha zake chupi inakua inalowa bila kukusudia nampenda nikisikia kimempata kitu kibaya naweza nisile siku nzima namuwaza yeye tu.

Yani nimekuwa nikisali namuombea kila siku yamkute mazuri na apate mafanikio makubwa kuliko navojiombea mwenyewe. Nikiona watu wanamsema vibaya najisikia vibaya mood yangu inaharibka siku nzima. Tatizo nampenda mtu ambae hajui kama kuna mtu kama mimi naexist.

Jana nimeingia Instagram account yake nimekuta watu wanamsema vibaya usiku mzima sijalala naota maruweruwe namuwaza yeye. Sijawahi kupenda kama hivi sidhani kama itakuja kutokea katika maisha yangu kumpenda mtu kama hivi.

Sijui kimentokea nini, sikuwahi kuwa fan wa mtu fulani kiasi cha kumpenda kiasi hiki ndo mara yangu ya kwanza kuwa fan wa mtu na kumpenda. Kumuombea mazuri tu yampate kuliko navojifikiria mwenyewe. Hivi hii ni kawaida kweli au inawezekana nina ugonjwa wa saikolojia?

happymsafiMember
Joined: Today
Messages: 9
Likes Received: 1
Trophy Points: 3

Umekuja na ID mpya ili tusijue wewe nani? Sasa kuna haja gani ya kutosema jina lake wakati unatumia fake identification? We mtaje tu kuna wataalamu huku wanaweza kukuunganisha nae ili usilowanishe pichu yako hovyo.
 
Back
Top Bottom