Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,578
- 28,701
Pole sana.
van vicker? Haaaa hawezi kumzidi john dumelo yule kaka ni balaa chezea mwanaume mweusi wewe! Van vicker cha mtoto!The Van Vicker fever!
sio mtanzania sikumtaja kwasabau zangu binafsi
#Vicker wakawaida sana mbona,,,,,, labda #dumelo na natural colour yake.Bila shaka wewe utakuwa ni Giggy Money... kama sivyo bas ni ndugu yake wa karibu sana... cha kukushauri ni kuwa chupi ikishalowa kabadilishe uvae nyingine... pili haina haja ya kuwa na mwanamme coz ukimuona van Vicker tu unafika orgasm... How lucky you are!!
Mpendwa mtaje jina then wanajf tutaanzisha hashtag kukusaidia..Ukutane nae japo akupe one night stand tehJamani mwenzenu kuna huyu kaka ni mwigizaji wa nchi za wenzetu huko naomba nisimtaje nimetokea kumpenda kiasi nikimuona tu anaigiza, picha zake chupi inakua inalowa bila kukusudia nampenda nikisikia kimempata kitu kibaya naweza nisile siku nzima namuwaza yeye tu.
Yani nimekuwa nikisali namuombea kila siku yamkute mazuri na apate mafanikio makubwa kuliko navojiombea mwenyewe. Nikiona watu wanamsema vibaya najisikia vibaya mood yangu inaharibka siku nzima. Tatizo nampenda mtu ambae hajui kama kuna mtu kama mimi naexist.
Jana nimeingia Instagram account yake nimekuta watu wanamsema vibaya usiku mzima sijalala naota maruweruwe namuwaza yeye. Sijawahi kupenda kama hivi sidhani kama itakuja kutokea katika maisha yangu kumpenda mtu kama hivi.
Sijui kimentokea nini, sikuwahi kuwa fan wa mtu fulani kiasi cha kumpenda kiasi hiki ndo mara yangu ya kwanza kuwa fan wa mtu na kumpenda. Kumuombea mazuri tu yampate kuliko navojifikiria mwenyewe. Hivi hii ni kawaida kweli au inawezekana nina ugonjwa wa saikolojia?
Hiyo ndiyo sababu kuu iliyokufikisha kwenye hali hiyo! Mabinti wa kibongo WOTE huwa wanaloa kwa wageni! Keep on praying Ma!!he might have a wet dream with you.
hongera yanini? ni tatizo we unatoa hongeraUnasema chupi huwa inalowa?...aisee,hongera Sana..
Happy kwa iyo uwa unakojoa kabisaJamani mwenzenu kuna huyu kaka ni mwigizaji wa nchi za wenzetu huko naomba nisimtaje nimetokea kumpenda kiasi nikimuona tu anaigiza, picha zake chupi inakua inalowa bila kukusudia nampenda nikisikia kimempata kitu kibaya naweza nisile siku nzima namuwaza yeye tu.
Yani nimekuwa nikisali namuombea kila siku yamkute mazuri na apate mafanikio makubwa kuliko navojiombea mwenyewe. Nikiona watu wanamsema vibaya najisikia vibaya mood yangu inaharibka siku nzima. Tatizo nampenda mtu ambae hajui kama kuna mtu kama mimi naexist.
Jana nimeingia Instagram account yake nimekuta watu wanamsema vibaya usiku mzima sijalala naota maruweruwe namuwaza yeye. Sijawahi kupenda kama hivi sidhani kama itakuja kutokea katika maisha yangu kumpenda mtu kama hivi.
Sijui kimentokea nini, sikuwahi kuwa fan wa mtu fulani kiasi cha kumpenda kiasi hiki ndo mara yangu ya kwanza kuwa fan wa mtu na kumpenda. Kumuombea mazuri tu yampate kuliko navojifikiria mwenyewe. Hivi hii ni kawaida kweli au inawezekana nina ugonjwa wa saikolojia?
unaonaaa ni tatizo mwenyewe nafaham kuwa ni tatizo jinsi ya kutoka ndo kaziPole zako sijui kupenda ni nini maana unapenda mtu hata hakufahamu
Aiseee....!!!Unasema chupi huwa inalowa?...aisee,hongera Sana..
images kama hizo zinanijiaga sometimeshahahah kha!!!!!! Hujasex nae kifikra kweli? duh!!!!!!!!!! hi ndo dunia.
Jamani mwenzenu kuna huyu kaka ni mwigizaji wa nchi za wenzetu huko naomba nisimtaje nimetokea kumpenda kiasi nikimuona tu anaigiza, picha zake chupi inakua inalowa bila kukusudia nampenda nikisikia kimempata kitu kibaya naweza nisile siku nzima namuwaza yeye tu.
Yani nimekuwa nikisali namuombea kila siku yamkute mazuri na apate mafanikio makubwa kuliko navojiombea mwenyewe. Nikiona watu wanamsema vibaya najisikia vibaya mood yangu inaharibka siku nzima. Tatizo nampenda mtu ambae hajui kama kuna mtu kama mimi naexist.
Jana nimeingia Instagram account yake nimekuta watu wanamsema vibaya usiku mzima sijalala naota maruweruwe namuwaza yeye. Sijawahi kupenda kama hivi sidhani kama itakuja kutokea katika maisha yangu kumpenda mtu kama hivi.
Sijui kimentokea nini, sikuwahi kuwa fan wa mtu fulani kiasi cha kumpenda kiasi hiki ndo mara yangu ya kwanza kuwa fan wa mtu na kumpenda. Kumuombea mazuri tu yampate kuliko navojifikiria mwenyewe. Hivi hii ni kawaida kweli au inawezekana nina ugonjwa wa saikolojia?