Kumnyima mume unyumba ni kumuua?

Akisafiri kwani kina Eliza si wapo? Mi nikikaa siku mbili huwa napata kizunguzungu!


wakina Eliza ndio hao mnaowakidua huko nje?...Chris sema ukweli kumwaibisha shetani, cku 2 huwezi kukaa? sasa akiwa hewani kwa cku 3-4 ndio mnawakimbilia hao wakina Eliza?
 
Labda nilikuwepo kwenye daladala... wanawake gossiping ndio inaturefushia maisha bana

Endelea kujidanganya mwanetu, lakini inategemea na huyo jamaa ako yukoje ss n'tu ya kutoka Tarime lazima utoe kitu.
 
hee dearest, hiyo nidhamu ya uoga imeanza lini? aitiwe asiitiwe huko nje wanafanya maarifa wanayoyajua wao, c unaonaga comments za wazee wa humu ndani?...halafu mie cfikiragi eti nikimnyima/mbania ataenda huko nje, nje labda anaendaga kila wakati na bado akija home anataka, kwangu nidhamu ikipungua na kula huli, sio nidhamu ya nidhamu kuna nidhamu ya kumnyimia....halafu wanawake wengi wanakuwaga na hilo wazo cjui kwanini, unaweza kuweka mpaka rehani roho yako lakini kama ni lim2 la kutoka litatoka 2....
Nyamayao sasa likizo unampa ya siku ngapi? nakuona mkali wewe...
 
hee dearest, hiyo nidhamu ya uoga imeanza lini? aitiwe asiitiwe huko nje wanafanya maarifa wanayoyajua wao, c unaonaga comments za wazee wa humu ndani?...halafu mie cfikiragi eti nikimnyima/mbania ataenda huko nje, nje labda anaendaga kila wakati na bado akija home anataka, kwangu nidhamu ikipungua na kula huli, sio nidhamu ya nidhamu kuna nidhamu ya kumnyimia....halafu wanawake wengi wanakuwaga na hilo wazo cjui kwanini, unaweza kuweka mpaka rehani roho yako lakini kama ni lim2 la kutoka litatoka 2....

hapo kwa blue wee acha tu, nilikukumbuka kwa kweli!!! (kumbe kuna saa mtu u have to...)

na kweli wala hawashindwi hawa viumbe!!! umenikumbusha rafiki yangu anasemaga mpe hata tigo akitaka kula ya nje anakula tu..........which is true ofcoz!!!
 
wakina Eliza ndio hao mnaowakidua huko nje?...Chris sema ukweli kumwaibisha shetani, cku 2 huwezi kukaa? sasa akiwa hewani kwa cku 3-4 ndio mnawakimbilia hao wakina Eliza?

Hapo ndo utakapo ona kazi za nje zitakapo thaminiwa.
Ndo maana mzungu ana akili sana kwenye gari licha ya kuwa kuna magurudumu 4 lakini akaweka na spare.
 
Kwa taarifa yako mi ukinibania ndani ndio ujue ninafurahi kinoma. Manake kesho yake nacheza machezo na kina Eliza kwa raha dhangu. Nyie tubanieni tu eti mkidhani mnatukomoa. Sijui mtafunguka lini akili zenu nyie jinsia ya kike?


sio wote wapo kama nyamayao...mie nikifanya nafanya nikiamua kutoka rohoni yaani huniburuti, nenda kwa huyo eliza wako kwa raha zako wala mshipa hautanicheza lakini twende sawa, yaani unitishie utaenda kwa kina hao eliza kisa home kwako umekukorofisha bac unaona gia ni kwa eliza, nenda baba upunguze yoghurt iyo lakini nickufume.
 
hapo kwa blue wee acha tu, nilikukumbuka kwa kweli!!! (kumbe kuna saa mtu u have to...)

na kweli wala hawashindwi hawa viumbe!!! umenikumbusha rafiki yangu anasemaga mpe hata tigo akitaka kula ya nje anakula tu..........which is true ofcoz!!!

Mamushka huyu ni yule nimjuaye au kaibiwa pasiwedi yake?
Huwezi kuongea pointi nzuri namna hii hakyanani.
Kale kabatani ketu sikaoni jamani jamani jamani!
 
sio wote wapo kama nyamayao...mie nikifanya nafanya nikiamua kutoka rohoni yaani huniburuti, nenda kwa huyo eliza wako kwa raha zako wala mshipa hautanicheza lakini twende sawa, yaani unitishie utaenda kwa kina hao eliza kisa home kwako umekukorofisha bac unaona gia ni kwa eliza, nenda baba upunguze yoghurt iyo lakini nickufume.

Na ikatokea bahati nzuri ukanifuma?
 
sio wote wapo kama nyamayao...mie nikifanya nafanya nikiamua kutoka rohoni yaani huniburuti, nenda kwa huyo eliza wako kwa raha zako wala mshipa hautanicheza lakini twende sawa, yaani unitishie utaenda kwa kina hao eliza kisa home kwako umekukorofisha bac unaona gia ni kwa eliza, nenda baba upunguze yoghurt iyo lakini nickufume.
ukimbamba unalianzisha mazima..............
 
Hapo ndo utakapo ona kazi za nje zitakapo thaminiwa.
Ndo maana mzungu ana akili sana kwenye gari licha ya kuwa kuna magurudumu 4 lakini akaweka na spare.

nyie endeleeni kuzithamini lakini nitabana mpaka na mie nitakapoona dhamani yangu imerudi kwenye mstari....nyie inaelekea mnawaburuza sana wanawake nyie, cjui kwanini Chris hukunioa mie mana nadhani marangu wangetuchoka kwa mashtaka sasa tungeyaahamishia kanisani.
 
Mamushka huyu ni yule nimjuaye au kaibiwa pasiwedi yake?
Huwezi kuongea pointi nzuri namna hii hakyanani.
Kale kabatani ketu sikaoni jamani jamani jamani!

its the painfull truth though!!!

hamueleweki nyie watu......aghrrrrrrrrrrrrrrrr!!!

ntaidelete hiyo lomenti ujue biggy!!!
 
nyie endeleeni kuzithamini lakini nitabana mpaka na mie nitakapoona dhamani yangu imerudi kwenye mstari....nyie inaelekea mnawaburuza sana wanawake nyie, cjui kwanini Chris hukunioa mie mana nadhani marangu wangetuchoka kwa mashtaka sasa tungeyaahamishia kanisani.

Hahahaha unaona shem ni mpole sana ndo maana unamkalia mkichwa.
Mind you watu wapole ni wabaya wanaua kimya kimya na hugundui hivi una hausi geli hapo kwako?
 
nyie endeleeni kuzithamini lakini nitabana mpaka na mie nitakapoona dhamani yangu imerudi kwenye mstari....nyie inaelekea mnawaburuza sana wanawake nyie, cjui kwanini Chris hukunioa mie mana nadhani marangu wangetuchoka kwa mashtaka sasa tungeyaahamishia kanisani.

Bado hatujachelewa...........

Mi kesi za unyumba kusuluhishwa kanisani ni mwiko. Yaani nimpelekee padre/mchungaji mke wangu anisaidie kummega? Mi kama tumeshindwana, kila mtu achukue hamsini zake. We kamegwe huko nami nikamege huko, tukikutana tukaamua kukumbushiana kwa ajili ya afya ya watoto wetu, poa tu. Ukiamua kurudi baada ya kunogewa tena, poa tu. Msimamo ni uleule: MWANAUME HAKUUMBWA KWA AJILI YA MWANAMKE MMOJA!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ni mjadala niliousikia leo kwenye daladala nilipokuwa nakuja kazini. Wanawake wawili walikuwa wameketi viti vya mbele yangu na walikuwa wanamjadili mwenzao ambaye walikuwa wanamtaja jina mara kwa mara kuwa ndiye aliyesababisha kifo cha mumewe kutokana na kumnyima unyumba.

Ati wakuu mwanaume anaweza kufa ati kisa tu kunyimwa unyumba na mkewe?

Mungu alaze pema mwili wa marehemu. (tusemeni ameen kwa sauti kubwa)
 
hapo kwa blue wee acha tu, nilikukumbuka kwa kweli!!! (kumbe kuna saa mtu u have to...)

na kweli wala hawashindwi hawa viumbe!!! umenikumbusha rafiki yangu anasemaga mpe hata tigo akitaka kula ya nje anakula tu..........which is true ofcoz!!!

kuna frnd wa mr tulicmamia haruc yake, juzi mkewe kanical analiaa weee, kulikoni? ananiambia alimpa mr kila kitu kutoka mwilini mwake lakini kaja kujua mr ana mwanamke ana mimba nje, na kamuuliza mr, mr kakubali ni kweli ana mwanamke mwenye mimba, nikamuuliza kila kitu umempa kivipi? akaniambia hicho kitu, kidogo nipige yowe kwenye cmu, yaani cjui nani kawaambia wadada wakitoa hiyo ndio wanaume cjui watawapenda/watatulia yaani cjui kabisa....cjui kwa kweli....watafute kitu unique sio hiyo inanunuliwa kwa kina hao Eliza kwa shs 5000...
 
Bado hatujachelewa...........

Mi kesi za unyumba kusuluhishwa kanisani ni mwiko. Yaani nimpelekee padre/mchungaji mke wangu anisaidie kummega? Mi kama tumeshindwana, kila mtu achukue hamsini zake. We kamegwe huko nami nikamege huko, tukikutana tukaamua kukumbushiana kwa ajili ya afya ya watoto wetu, poa tu. Ukiamua kurudi baada ya kunogewa tena, poa tu. Msimamo ni uleule: MWANAUME HAKUUMBWA KWA AJILI YA MWANAMKE MMOJA!!!!!!!!!!!!!!!!


ooh yeah??

ngoja niondoke hapa usiijaribu imani yangu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom