Hiyo inawezekana, lakini indirectly..
Siyo kwamba mwanaume asipofanya basi anakufa, nooop!
Ila kwamba huenda baada ya kunyimwa alienda kutangatanga huko mabarabarani, na aidha akakanyaga waya wa shoti, au alifumaniwa mahala, akapigwa na kupelekea mauti!
Mie presha ya hivyo sipati ng'o. Tena nasema hapa wazi hata siku nikipata mchumba nitamwonesha hii post. Mke akininyima bila sababu ya maana na mie namyima, tit for tat. Na sitamuomba tena. Na tena hali ikiendea hivyo bila reconciliation, nadhani hizo ndio zile irreconcilable differences ambazo kwazo ndoa inavunjwa rasmi, kila mtu ajue hamsini zake, hakuna haja ya kutesana.
Mie huwa hata sielewi hii mambo inavyokwenda-
Una-addiction? Wasiliana na Dr Manyuki
Una-addiction? Wasiliana na Dr Manyuki
Mie huwa hata sielewi hii mambo inavyokwenda-
kumbe ni rahisi kumuua mwanaume eeh?
kumbe ni rahisi kumuua mwanaume eeh?
Itabidi aisee mimi nikikosa kwa siku 2 sioni mbele kunakuwa na giza kubwa/poor sight /vision
Sio ushikwe na kihoro MJ inabidi umfaham mwanamke. MEN and WOMEN are different a man is on heat most of his life but a woman is not... She goes through periods of time where she cools off.. she's not thinking about sex when she has to get up 6 times at night to feed a baby.. when her genitals have 25 stitches and she's bleeding like she's been stabbed.Yawezekana kabisa!
Mwenzio alikuwa anakupa ile kitu katika namna ambayo huwezi kuielezea halafu ghafla tu anakatisha huduma; hamna maelezo wala shutuma; kila ukiuliza anakwambia hakuna tatizo; lakini ndoa unaendelea kunyimwa; lazima ushikwe na kihoro na ukikosa ushauri mwafaka presha inakupanda na hapo kama hakuna huduma lazima uzimike!
Hata mimi ningekufa, tena after three days.
kama adabu yake inayumba anapewa likizo tu.
hee cku 2? sasa akisafiri/ukisafiri inakuwaje?...kuna watu mna apetaiti eeh.
kumbe ni rahisi kumuua mwanaume eeh?
Labda nilikuwepo kwenye daladala... wanawake gossiping ndio inaturefushia maisha banaYaani ni kama na wewe ulikuwepo walivyokuwa wanapokezana point kwenye mazungumzo yao. Walidai mume akinyimwa hachukui raundi, lazima afe! Ati walidai ni bora mwanaume akishindwa mwenyewe kufanya sababu ya kuishiwa nguvu za kiume, kuliko anyimwe hali nguvu anazo, ati ndio zitampeleka kwenye kifo. Kilichonishangaza ni kuwa walijuaje kuwa mwenzao huyo alikuwa anamyima mumewe? Wao walikuwa wanamshutumu tu jinsi alivyokuwa anamnyima, lakini hadi nashuka kituoni sikupata kuwasikia wakisema walijuaje ya mwenzao hayo.
unamnyima na huko nje anaitiwa tena kwa kubembelezwa.......sasa itakuwaje hapo??
si itakula kwangu dearest????
Akisafiri kwani kina Eliza si wapo? Mi nikikaa siku mbili huwa napata kizunguzungu!hee cku 2? sasa akisafiri/ukisafiri inakuwaje?...kuna watu mna apetaiti eeh.
Mimi nikisafiri huwa siwezi kamwe kulala alone, nipo radhi niombe binti nilale nae kitanda kiomja bila ya kufanya kitu lakini namalizia kwa ndoto.
hee dearest, hiyo nidhamu ya uoga imeanza lini? aitiwe asiitiwe huko nje wanafanya maarifa wanayoyajua wao, c unaonaga comments za wazee wa humu ndani?...halafu mie cfikiragi eti nikimnyima/mbania ataenda huko nje, nje labda anaendaga kila wakati na bado akija home anataka, kwangu nidhamu ikipungua na kula huli, sio nidhamu ya nidhamu kuna nidhamu ya kumnyimia....halafu wanawake wengi wanakuwaga na hilo wazo cjui kwanini, unaweza kuweka mpaka rehani roho yako lakini kama ni lim2 la kutoka litatoka 2....