Ni mjadala niliousikia leo kwenye daladala nilipokuwa nakuja kazini. Wanawake wawili walikuwa wameketi viti vya mbele yangu na walikuwa wanamjadili mwenzao ambaye walikuwa wanamtaja jina mara kwa mara kuwa ndiye aliyesababisha kifo cha mumewe kutokana na kumnyima unyumba.
Ati wakuu mwanaume anaweza kufa ati kisa tu kunyimwa unyumba na mkewe?
Ati wakuu mwanaume anaweza kufa ati kisa tu kunyimwa unyumba na mkewe?