Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,499
- 113,610
Wanabodi,
Leo kuna SMS nimetumiwa, niliposema humu kuhusu hiyo SMS imeleta kizaazaa na kutoleana maneno mabaya
hadi baadhi ya watu humu kutoleana maneno ya kufuru Mungu. Kuwa kitendo cha kumkubali, kumsifu na kumpongeza mtu fulani kunahesabiwa, ni kumuabudu, kumtukuza na kumsujudia, kitu ambacho si kweli!.
Naendelea kusisitiza wa kuabudiwa, kutukuzwa na kusujudiwa ni mmoja tuu, "The One and Only God - Mungu Baba Pekee"
Hivyo nawaomba please
please, please, tusitake kumponza na huyu kama tulivyomponza yule kwa hizi lugha za machukizo.
Nawatakia sensa njemau tujitokeze kwa wingi kuhesabiwa!
Paskali.
Leo kuna SMS nimetumiwa, niliposema humu kuhusu hiyo SMS imeleta kizaazaa na kutoleana maneno mabaya
hadi baadhi ya watu humu kutoleana maneno ya kufuru Mungu. Kuwa kitendo cha kumkubali, kumsifu na kumpongeza mtu fulani kunahesabiwa, ni kumuabudu, kumtukuza na kumsujudia, kitu ambacho si kweli!.
Pongezi hizo ni za kumkubali kutokana na utendaji kazi wake uliotukuka wenye kuleta matokeo chanya. Hivyo pongezi ni za kumpa moyo aendelee kufanya makubwa na sio kumuabudu, kumtukuza au kumsujudu.Kwakuwa ww Paskali unamsujudia basi unaamini kila mtu anamsujudia kama ww. Kwa taarifa yako sisi wengine hata kuona tu hiyo sms kwenye simu zetu ilikuwa ni bonge la kero.
Ww ndio unamuabudu hadi kuona sms yake ni bonge la bahati. Sisi wengine wala hata akipita hapo pembeni hatumtetemekei kabisa.
Naendelea kusisitiza wa kuabudiwa, kutukuzwa na kusujudiwa ni mmoja tuu, "The One and Only God - Mungu Baba Pekee"
Hivyo nawaomba please
please, please, tusitake kumponza na huyu kama tulivyomponza yule kwa hizi lugha za machukizo.
Nawatakia sensa njemau tujitokeze kwa wingi kuhesabiwa!
Paskali.