super thinker
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 370
- 109
Nilimpenda sana,nikachukua muda mrefu kumwambia ukweli,nilipoenda nikakuta kuna aliyechukua muda mfupi kumchunguza na kumwambia ameshampata.......no way anaweza kujua ukweli ulio moyoni mwangu....ninachofurahi sasa ni kwamba nimetua mzigo uliokuwa moyoni lakini inaniuma sana kumkosa mrembo na ''decent girl'' huyu....kuzidi kuondoa machungu moyoni nimeamua ku''post'' kwa wadau kwamba nakupenda sana....ol th best:A S crown-1::A S crown-1: