The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Too bad for him atakuwa alikuwa na hali mbaya sanaJamani ngoja niwape hadith ya kweli inayoendana na huyu ndugu:
Kuna mkaka na mdada mmoja walikuwa marafiki wa muda mrefu sana; na ikatokea walikuwa wanatoka sehemu moja (yaani kabila moja), so wakawa wanaitana kaka na dada. Kumbe moyoni wa mkaka akawa amewaza kuwa huyu anafaa kuwa mke wangu, lakini hakusema. Yeye akafikiri na mdada naye anawaza hivyo. Siku ya siku, yule mdada kwa furaha kabisa akamwambia yule kaka yake, nina very good news to tell you: mkaka akatega masikio vizuri. mdada akasema, mimi mwenzio nimepata mchumba, yaani wewe ni kwanza kukuambia kaka yangu!!!. Yule mkaka akapigwa butwaa!!! akamuuliza, umepata mchumba??!!! na mimi je???!!! Yule dada akabaki anashangaa, mbona hujawahi kusema jamani???!!! So, it was too late for him! Aliumia sana yule mkaka, na sina taarifa za hivi karibuni kama alikuja kuoa!!! Maana aliona hawezi kupata mwingine kama yule mdada, but nani alaumiwe???!!
So ushauri kwa wakaka, kwa mila zetu wakaka ndo wanaanza kusema, so please kama umempenda mdada mwambie; usiwaze moyoni ukafikiri na mwenzio naye anawaza the same.
Good day....