Kumjua mwanamke aliewahi kutoa mimba

Kumjua mwanamke aliewahi kutoa mimba

Musaria Mwanza
Member
46

Member Since: Friday Messages: 9 Likes Received: 0 Trophy Points: 1
Musaria Mwanza was last seen: [On BYO]Viewing latest content, 20 minutes ag

Jumatatu shule zinafunguliwa tupumue aisee!
 
Haaaaaaaa magode mbona shule nilishaachana nayo miaka mingi tu?nilipiga umande long time, labda nifukuzie udingi
 
We kapime kama ana kizazi.. hicho ndo cha muhimu!..hayo mambo ya kutoa mimba labda ujioe mwenyewe!!


Jigo
 
kwakweli mkifufua hilo jipu hapa mjini hapakaliki watu wamechomoa wewe, wengine ni ma single mother wana makaburi zaidi ya 4 na ukiwaona wanavyojibinua na mimacho yao booonge la msichana
 
Mchoraji umenielewa swali langu? ukinyonya maziwa yatatoa maziwa hata kama alitoa mimba miaka sita iliyopita?
Mim sidhan kama unaweza kujua may be vipimo vya xtray..ni mtazamo wangu kwan wengine hata ya week mbili wanatoa..na atakuwa tu wa kawaida..Wengine wanatokwa na maji meupe tu kwenye maziwa...Au tukaulize jukwaa la Afya tunaweza pata majibu ya wataalamu
 
Ukitaka kumjua chukua pipi kijiti big boom mpe ale kabla hamjaanza kufanya mapenzi ukiona anamaliza ujue huyo ameshawahi kutoa.au mnunulie chips yai na fursana baridii akimaliza ujue tayari amesha wahi kutoa.
 
Aiseeee......😉
Usiyavuke maji usio weza kuyaoga
 
Take easy, si kila kitu cha kuchunguza. Ukimchunguza bata Wallah hutakula nyama yake.
 
Mmh ukimchunguza bata hutamla ayo maswali yako ni ya mtu ambae hajakomaa vzur kiakil
 
Back
Top Bottom