reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,828
- 21,932
H6 ndio revolution ya smartphone za tecno, sijawah penda tecno ila hii naweza isifia, camera yake ilikua natural na high quality, specs zake nying zilikua real achana na haya mafamba ya skuhz,Kiukweli haya mambo nayasomaga tu, nina mwaka wa NNE naumia h6 na sijawahi pata hizo shida
