CaptainDunga
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 1,588
- 1,392
Ndege ikipita angani WIFI inakuandikia “one item detected”- Mara una type message characters zinajiongeza zenyewe!
- Unaongea mtu, ukikata simu haikati mpaka ung'oe betrii!
- Unafungua screen, inagoma kufunguka hadi uzime uwashe!
- Unasave namba ya mtu, siku unakuta mara imepotea.
- Muziki wake utadhani una suboufer!
- Mafundi wake na spare zake vimejaa kedekede kila kona!
- Zinatuunganisha haswa, kila unayekutana nae anayo!
Hongera TECNO.

