Kumiliki simu ya TECNO kuna raha zake bwana!

Kumiliki simu ya TECNO kuna raha zake bwana!

Hahaha TECNO HOYEE
GBWA-20181015082317.jpeg
 
achana na TEKNO mtu wa kumwonea huruma ni yule anayetumia ITEL
hawa watu wanahitaji msaada wa maombi
Kuna jamaa yangu mmoja nilimkopesha pesa sasa akashindwa kulipa akasema anipe smartphone yake ya itel kufidia deni, niliikataa japo muda huo nilikuwa natumia kitochi maana simu yangu kubwa ilitumbukia baharini. Itel sijui ni nini kile, ila cha msingi mawasiliano tu tusiseme mengi maana life linapindukaga unakosa hata hiyo itel.
 
Unataka kumuonyesha demu wako namna pic yake uliyompiga kwa kutumia
tecno wereva ilivyodamshi. Kwa mbwembwe unafungua gallery kitu kimestack kwa nusu saa nzima hakizimi wala hakistuki..! Hapo ndo utatamani kuibamiza ukutani
 
Back
Top Bottom