Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 617
JAmani katika utetezi wake leo mahakamani, Basil Mramba amekiri kuwa yeye ndiye aliyeidhinisha malipo kwa Alex Steward Government Business Corporation ya dola milioni moja kwa kufuata maelekezo ya IKULU ya Benjamin Mkapa.
Hakumtaja Mkapa lakini alisema alipata maelekezo ya IKULU. Huenda alikuwa na maana ya Baraza la Mawaziri, ambalo baadhi ya viongozi wa sasa walikuwa wajumbe!!! Hapo iko kazi. KUMEKUCHA
Mramba na wenzake jana walikuwa wakisomewa maelezo ya awali ya kesi hiyo iliyoko chini ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Hezron Mwankenja.
Wenzake Daniel Yona na Gray Mgonja, walikana baadhi ya maelezo waliyosomewa wakati Mramba alikiri sehemu kubwa.
Hakumtaja Mkapa lakini alisema alipata maelekezo ya IKULU. Huenda alikuwa na maana ya Baraza la Mawaziri, ambalo baadhi ya viongozi wa sasa walikuwa wajumbe!!! Hapo iko kazi. KUMEKUCHA
Mramba na wenzake jana walikuwa wakisomewa maelezo ya awali ya kesi hiyo iliyoko chini ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Hezron Mwankenja.
Wenzake Daniel Yona na Gray Mgonja, walikana baadhi ya maelezo waliyosomewa wakati Mramba alikiri sehemu kubwa.